totoadela
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 370
- 1,111
UKIMYA nao ni SAUTI ambayo inatakiwa KUSIKILIZWA.
Ukimuona Ndugu,Rafiki,Mwenzi n.k..wameanza kuwa wakimya tofauti na zamani, usipuuzie.
Sio kila mtu anakuwa na UJASIRI wa kuongea anachopitia.
Wengi ukimya wao umebeba sauti nzito.
Kuna watu ukimya wao ni ishara ya maumivu makali sana ambayo wanapitia.
Kuna wengine ukimya wao ni ishara kuwa wamepoteza mwelekeo na wamechanganyikiwa HAWAJUI kabisa nini cha kufanya.
Badala ya kumpuuza aliyeanza kuwa kimya Badala ya kumtenga na kutomtafuta fanya bidii kuongea naye.
Kuna watu wengi wamepoteza watu wao muhimu kwa sababu walipuuzia ukimya wao, Kwenye ukimya kuna sauti, Kwenye Ukimya kuna UJUMBE umejificha JITAHIDI UUTAFUTE..
Karibuni Chai Na Mihogo [emoji2][emoji2]
Ukimuona Ndugu,Rafiki,Mwenzi n.k..wameanza kuwa wakimya tofauti na zamani, usipuuzie.
Sio kila mtu anakuwa na UJASIRI wa kuongea anachopitia.
Wengi ukimya wao umebeba sauti nzito.
Kuna watu ukimya wao ni ishara ya maumivu makali sana ambayo wanapitia.
Kuna wengine ukimya wao ni ishara kuwa wamepoteza mwelekeo na wamechanganyikiwa HAWAJUI kabisa nini cha kufanya.
Badala ya kumpuuza aliyeanza kuwa kimya Badala ya kumtenga na kutomtafuta fanya bidii kuongea naye.
Kuna watu wengi wamepoteza watu wao muhimu kwa sababu walipuuzia ukimya wao, Kwenye ukimya kuna sauti, Kwenye Ukimya kuna UJUMBE umejificha JITAHIDI UUTAFUTE..
Karibuni Chai Na Mihogo [emoji2][emoji2]