na haya mautamu,na hivi nikijua ulikuwa unakole ila tu ubazazi wako ndo ulikufanya uondoke!ah nakupotezea ulie hata ufeyaani kama wewe snowhite uwe X wangu
niko radhi nilie pale uwanja wa taifa hadi unionjeshe tena lol
Aisee, nitafanya chochote hadi ukubali, chezeiya mwanamme analilia chake cha zamani wewe.
Mbona mwapita njia tu....mje kutoa maoni yenu
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Kwa hiyo mnachopinga ni nini?..kwamba mwanaume hana moral authority kuclaim penzi la mtu wake kwa gharama kubwa?..au? Hebu angalieni jamani gharama anazoingia mwanaume tangu harusi hadi maisha ya kawaida,mashoping kila kukicha, mitoko isiyopimika bado kwenye 6*6..Yaani kwa msingi huu anakosaje guts za kufia penzi la mtu wake??..
kama lilikuwa la gharama ilikuwaje mnatuachia tunachomoka,yani mpka mwanaume mwingine anipende we ndo unaona thamani ya penzi langu na kuamua kuclaim it back!?Kwa hiyo mnachopinga ni nini?..kwamba mwanaume hana moral authority kuclaim penzi la mtu wake kwa gharama kubwa?..au? Hebu angalieni jamani gharama anazoingia mwanaume tangu harusi hadi maisha ya kawaida,mashoping kila kukicha, mitoko isiyopimika bado kwenye 6*6..Yaani kwa msingi huu anakosaje guts za kufia penzi la mtu wake??..
wakati we unapiga hizo goli nne mwanamke anakuwa anafua ehn?Tena baada ya kutoka kwenye mihangaiko yoote wanataka bao kama 4 za uhakika wakati walipokuwa boarding walikuwa wanatipika mamidoli kwenye..................Unaona kazi hiyo!
Na si kwamba tunawaonea wivu mnapokuwa na wenzi wapya........ni vile tu kwamba tuliwekeza kwenu halafu unaturingishia barabarani, Kuhifadhi heshima ya kiume unakula nakozi
Tena baada ya kutoka kwenye mihangaiko yoote wanataka bao kama 4 za uhakika wakati walipokuwa boarding walikuwa wanatipika mamidoli kwenye..................Unaona kazi hiyo!
Na si kwamba tunawaonea wivu mnapokuwa na wenzi wapya........ni vile tu kwamba tuliwekeza kwenu halafu unaturingishia barabarani, Kuhifadhi heshima ya kiume unakula nakozi
we si unaona Rihana na Chris Brown wanavyofanya...yaani kila mtu anammiss mwenziwe!
wakati we unapiga hizo goli nne mwanamke anakuwa anafua ehn?
leo hapa muutwange mbichi au muuanike lazima mtupe sababu kuntu za kuwa hivi mlivyo!
si wamerudiana?? Kuna wakati walionekana pamoja huko mafichoni.
hawa jamaa siwaelewi. mbona sisi wakitumwaga tunawaacha wa-rest in peace? kwa nini wao hawataki tupate raha kwa waliotuthamini?he will hunt you hadi kaburini.
kuna siku nilimkuta X kapandishwa kwenye V8, niliumwa mwezi mzima.
Inauma wewe, inauma sana.
Alikuwa anatega kusubiria tudondoshe protini zetu...........Kuna watu wanakula vidonge ili wapate protini wewe unapata kilo 50 kwa mwezi halafu unaringa!!?
....yani mwanamke anapojua anaibiwa au akikuta anaibiwa maumivu yetu ni makali zaidi maana sisi hatuna pa kusemea tunabaki kugugumia ndani na kuamua kufanya bira yaishe!na ndoa au mahusiano yanaendelea!bora nyie mnaweza kupigania penzi lenu hata ikibidi kuua,kwa mwanamke hali ni ngumu kwa kweli!
This shows that God intended for Eve to be lower than than Adam Na hii ndo in reflect situation ya SasaI love the story of Adam and Eve because within it there are SO many eternal truths about the role and purpose of women and interactions between the men and women. Yet, it saddens me that this beautiful story has also been the justification for so much of history's oppression and discrimination against women. One part of the story that some people have traditionally used to justify giving women a subservient and oppressive role in society is that fact that God made Eve from Adam's rib
peri changia bana ,tuwambie swala la kitenzi kimilikishi linatokea wapi?
hawa jamaa siwaelewi. mbona sisi wakitumwaga tunawaacha wa-rest in peace? kwa nini wao hawataki tupate raha kwa waliotuthamini?