Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,410
- 283,599
Tunapohoji sana haya masuala tunaitwa Wapinga kila kitu, Sasa nyie mnaokubali kila kitu Tuambieni hapa mmeelewa nini?
Je ni kweli kwamba Abiria hawakujua na walifika wanapokwenda kwa wakati?
Je ni kweli kwamba Abiria hawakujua na walifika wanapokwenda kwa wakati?