pwani, dar, tangaVinapatikana bwawa gani mkoa gani jirani.
Hahaha! Namaanisha tumbo na si utumbo.Hadi matumbo...wewe si wa kawaida mkuu😂😂
Haya sasa niambie ni samaki gani hao ambao wanatrgemea
Makabila gani hayo mkuu
[emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848]mbna kazi sasa
Naamini utamu upo katika nyamaHuoni kuwa unakosa utamu mkuu..
ApaawomiOhooo oky...kwangu utamu niutafute tafute kidogo woooii
Hahahahaaaa hatari sana Mkuu,.. Napata supu ya samaki karibu tufaidi wote.😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋mkuu unashtakiwa kwa kusababisha minyoo yangu ikaanza kupiga kelele..
Mwamba hiyo sehemu ya tumbo sio poa aise.😋😋😋