pwani, dar, tangaVinapatikana bwawa gani mkoa gani jirani.
Hahaha! Namaanisha tumbo na si utumbo.Hadi matumbo...wewe si wa kawaida mkuu😂😂
Haya sasa niambie ni samaki gani hao ambao wanatrgemea
Makabila gani hayo mkuu
mbna kazi sasa
Naamini utamu upo katika nyamaHuoni kuwa unakosa utamu mkuu..
ApaawomiOhooo oky...kwangu utamu niutafute tafute kidogo woooii
Hahahahaaaa hatari sana Mkuu,.. Napata supu ya samaki karibu tufaidi wote.😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋mkuu unashtakiwa kwa kusababisha minyoo yangu ikaanza kupiga kelele..
Mwamba hiyo sehemu ya tumbo sio poa aise.😋😋😋