Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kwenye samaki unapenda kula nini?

Nimefungua uzi na njaa imenikaba kinoma, Kitu ya sangara na sato huku Mwanza mimi huwa napenda kula kichwa na ile sehemu ya nyama chini ya tumbo ni balaa aseee.
๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹mkuu unashtakiwa kwa kusababisha minyoo yangu ikaanza kupiga kelele..

Mwamba hiyo sehemu ya tumbo sio poa aise.๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
 
samaki gani tena dada? au unamaanisha samaki!!
BTW

mkia ndo napenda namaliza najicho
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚m napenda nimle samaki wote jmn nibakishe miba sijui mifupa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚na kama ni yule anaetafunika adi miba nala kila kitu
Dada umenishinda kwa tabia๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณunakula hadi miba๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคชunadhulumu haki za paka ujue๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ
Tupe sifa za hiyo miba..kwa nn unapenda kutafuna miba??
 
Upo aise..

Wanasemaga nyama iliyo karibu na mfupa ni tamu mno..
Kwanini wewe unapenda mnofu??
we siumenichunia hutaki tena kunipa hints ๐Ÿ˜ฅ

meno mabovu mm nataka vitu simple mifupa hapana siwezi nawwchia nyie wenye sharp teeth.
 
Dada umenishinda kwa tabia๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณunakula hadi miba๐Ÿคช๐Ÿคช๐Ÿคชunadhulumu haki za paka ujue๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ๐Ÿคฉ
Tupe sifa za hiyo miba..kwa nn unapenda kutafuna miba??
wee sasa wale samaki wadogo ata miba aijakomaa inatafunika vizuri kwanini nisitafune ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom