Kwenye samaki unapenda kula nini?

Kwenye samaki unapenda kula nini?

🤣🤣🤣🤣🤣😅🤣🤣🤣🤣🤣watu mna mawivu mjue..

Nimekula tembele langu konki mnooo🤣🤣🤣chukuchuku...sasa hivi ndo nakula samaki hapa JF😂😂
yna2 hukukosea mama,Hatimae kafunguka mwenyewe 😂

Chakorii mambo zako mumieee,et dustbin ya kuweka hii miba iko wapi?
 
Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise Ninaweza nisile ugali aloo..ninakisosomola ni kinouma

Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasanamaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona

Akili za kuumwa na njaa hizi

Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto

Imeisha hiyoooo...
Raha ha samaki umle mkia mbele na nyuma.
 
Naimani pia umekuwa ukijifunza zaidi ili kupata ujuzi!!

Niko vizuri namshukuru Mungu sna
Yeah somehow na improve lakini ulinipa moja tu nakusubiria uniongeze na nyingine nifanye vurugu 🤪🤪 tena leo nipo free na kesho.
 
Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise Ninaweza nisile ugali aloo..ninakisosomola ni kinouma

Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasanamaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona

Akili za kuumwa na njaa hizi

Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto

Imeisha hiyoooo...
Napenda mkia, supu ya mkia ni balaa.
 
kuna mdau hapa anasema kabla ya kula samaki lazima ale pweza .

sijui ndo nini anamaanisha
 
Kwa upande wangu napenda kula kichwa aise Ninaweza nisile ugali aloo..ninakisosomola ni kinouma

Sasa wale watu wa kuenda extra maili sasanamaanisha samaki wa baharini kama yule aliem’meza Yona

Akili za kuumwa na njaa hizi

Maisha ukichukulia siriazi sana utakata moto

Imeisha hiyoooo...
Kichwa hadi mkia
 
Back
Top Bottom