Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi, ni kitu gani kinazuia kuvunjwa kwa mkataba wa TRL? maana mwezi huu wa Novemba mwekezaji amekataa kulipa mishahara kwa wafanaya kazi kisingizio ni hana pesa,
Na wakati huo serikali imelazimika kutoa pesa za walipa kodi kulipa mishahara hiyo, wakati serikali ikifanya hivyo, serikali imeshindwa kuchapisha mishahara kwenye salary slip kisingizio haina pesa za kununua hizo karatasi, nk
tuwafanyeje? Serikali V/S TRL?
Na wakati huo serikali imelazimika kutoa pesa za walipa kodi kulipa mishahara hiyo, wakati serikali ikifanya hivyo, serikali imeshindwa kuchapisha mishahara kwenye salary slip kisingizio haina pesa za kununua hizo karatasi, nk
tuwafanyeje? Serikali V/S TRL?