Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,836
Kwa mara ya kwanza katika historia ya ccm, mkutano mkuu maalumu wa CCM taifa kidigitali, umefanyika kwa kwa mafanikio makubwa, kwa maelewano na utulivu wa kiwango cha juu sana miongoni mwa wajumbe wa mkutano huo, tena kwa gharama kidogo na muda mfupi sana.
Teknolojia imetumiwa ipasavyo na ccm, kuandaa mkutano mkuu maalumu taifa, kukusanya na kuwaandaa wajumbe nchi nzima huko huko walipo, kujadiliana, kuamu na kufanya mabadiliko mazito na muhimu sana ya katiba ya CCM, kwa dhumuni la kuongeza fursa na wigo mpana zaidi wa idadi ya watia nia watakaopigiwa kura na wajumbe wa mikutano mikuu ya kata, wakati wa kura za maoni.
Mabadiliko haya yanakwenda kukiimarisha chama na kukifanya sikivu zaidi kwa wanachama wake, kukiimarisha na kua imara zaidi pengine kuliko wakati mwingine wowote hususan baada ya uchaguzi huo wa kura za maoni kuelekea uchaguzi mkuu wa October 29, 2025..
Wanaharakati wapiga ramli na washirikina wa kisiasa nchini, hususani wapinzani wa ccm. wameshangazwa na ufanisi wa mkutano mkuu huo maalumu taifa wa ccm, uliofanyika kidigitali kwa umahiri, uhuru, uwazi, weledi na viwango vya kimataifa katika tehama, kinyume na matarajio ya wapiga ramli wengi.
Well done united and vibrant CCM,
Kazi na utu, tusonge mbele na DR.SAMIA SULUHU HASSAN October.
Kidumu Chama Cha Mapindunzi.
Mungu Ibariki Tanzania.
Teknolojia imetumiwa ipasavyo na ccm, kuandaa mkutano mkuu maalumu taifa, kukusanya na kuwaandaa wajumbe nchi nzima huko huko walipo, kujadiliana, kuamu na kufanya mabadiliko mazito na muhimu sana ya katiba ya CCM, kwa dhumuni la kuongeza fursa na wigo mpana zaidi wa idadi ya watia nia watakaopigiwa kura na wajumbe wa mikutano mikuu ya kata, wakati wa kura za maoni.
Mabadiliko haya yanakwenda kukiimarisha chama na kukifanya sikivu zaidi kwa wanachama wake, kukiimarisha na kua imara zaidi pengine kuliko wakati mwingine wowote hususan baada ya uchaguzi huo wa kura za maoni kuelekea uchaguzi mkuu wa October 29, 2025..
Wanaharakati wapiga ramli na washirikina wa kisiasa nchini, hususani wapinzani wa ccm. wameshangazwa na ufanisi wa mkutano mkuu huo maalumu taifa wa ccm, uliofanyika kidigitali kwa umahiri, uhuru, uwazi, weledi na viwango vya kimataifa katika tehama, kinyume na matarajio ya wapiga ramli wengi.
Well done united and vibrant CCM,
Kazi na utu, tusonge mbele na DR.SAMIA SULUHU HASSAN October.

Kidumu Chama Cha Mapindunzi.
Mungu Ibariki Tanzania.