kwa walio kwenye ndoa zenye upendo na furaha na amani ana UAMINIFU, ni kuendelea kumuomba Mungu ili kila mmoja wenu afurahie maisha hayo huku mkiendelea kujitunza kwa ajili ya kila mmoja...ibada ni muhimu wakuu!!!
...sasa huyo bidada akifanya tu ujinga wa kuachana na mume wake ndiyo ataona kama kijana atampa mapokezi au vipi...wanasemaga, mke wa mtu mtamu akiwa kwa mume wake sio akitimuliwa.
aache mambo ya kipuuzi huyo mke wa mtu ATULIZANE hebo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.