Kwenye maisha usije kumdharau mtu

Kwenye maisha usije kumdharau mtu

ONE TIME,
ONE FOR THE ROAD.
APPROXIMATELY, ONCE AGAIN
Dah iyo signature Yako maamae. Humu ndani watu mna swagger!

Licha ya yote hao wote walipangiwa hivyo pindi tu walipozaliwa. Umdharau usimdharau mtu haibadilishi chochote kwenye forces of nature.

Hata wewe kuandika huu uzi ilishapangwa longtime leo utaandika huu uzi.
 
Dah iyo signature Yako maamae. Humu ndani watu mna swagger!

Licha ya yote hao wote walipangiwa hivyo pindi tu walipozaliwa. Umdharau usimdharau mtu haibadilishi chochote kwenye forces of nature.

Hata wewe kuandika huu uzi ilishapangwa longtime leo utaandika huu uzi.
Au vipi man lazima uwe na.swagger
 
Watu wa chuga bhana wakivaa vizuri basi wanaona wako juu ya kila mtu
Jana nimesoma article kwa news ikisema,Game,Shoplite na Nakumati wnafungasha virago EAC zote very soon,Yale maisha washuwa na wakishua yamepita,nimeenda kijiji kimoja kila niliemwona anapambana sa hii ana nyumba self contained nzuri,Watanzania wa sasa sio wale wa zidimu fikra za mwenyekiti,no wanachakata maisha kiufundi kuliko hata serikali yenyewe.
 
Jana nimesoma article kwa news ikisema,Game,Shoplite na Nakumati wnafungasha virago EAC zote very soon,Yale maisha washuwa na wakishua yamepita,nimeenda kijiji kimoja kila niliemwona anapambana sa hii ana nyumba self contained nzuri,Watanzania wa sasa sio wale wa zidimu fikra za mwenyekiti,no wanachakata maisha kiufundi kuliko hata serikali yenyewe.
Waelekeze mkuu
 
Watu wa chuga bhana wakivaa vizuri basi wanaona wako juu ya kila mtu

Food, Cloth and Shelter ndio mahitaji muhimu kwanza kwa binadamu mwenye afya ili aweze kuishi yaani mavazi, chakula na malazi ukikosa hayo kamwe huwezi kupanga mipango ya uwekezaji au maendeleo yaani ukiona bado uhakika wa kula hauna pambana kwanza ushibe ndio mambo yatajipanga vizuri kichwani
 
Food, Cloth and Shelter ndio mahitaji muhimu kwanza kwa binadamu mwenye afya ili aweze kuishi yaani mavazi, chakula na malazi ukikosa hayo kamwe huwezi kupanga mipango ya uwekezaji au maendeleo yaani ukiona bado uhakika wa kula hauna pambana kwanza ushibe ndio mambo yatajipanga vizuri kichwani
Kweli mkuu
 
Kule kijijin kwetu kuna jamaa alikuwa anaitwa doctor jina la utani alilopewa na wadau jamaa alikuwa hajui kusoma Wala kuandika aliishia darsa la pili na baadae akaj akaoa mwanamke ambaye nae hauji kusoma Wala kuandika wakawa wanafnya Kaz za kujituma kutumikishwa na jamii ya pale Kijiji ikiwemo kwetu tulimtumia Sana kwenye Kaz za mikono mashamabani na kadhalika ,dokta alivyoona ameoa na kupata mtot wa kwanza wa kiume akaona ajiongeze aende mjini kutafuta vibarua vinavyo lipa vzr Basi na mkee wake pia wakaamua kwenda mjini kutafuta Kaz kwenye bustani za maua ,hapo mitaa ya ......

Baadae wakapta mtot wa pili bint sasa wakaendelea na mapambno ubaya yule dogo aliyezaliwa wa kwanza alikuwa mzito hata kusoma nae hajui Wala nni ,sas huyu wa pili aliyezaliwa Ni kiboko anashika namba moja kuanziaa darasa la Kwanza had la Saba ankimbiza muda wote ...sitaki kusema Yuko wapi kwa sas

Dokt amepambana mpk leo kajenga kanyumba Yake na ameweka na umeme wake na anawatot watatu , ukifika kwake na ukimuona Kaz anazofanya utaona kabsa kuwa unachezeage hella kwa vile dokta hajasoma popote ni haya haya maisha ya kuunga unga leo nae anheahimika vzr tu
 
Dah iyo signature Yako maamae. Humu ndani watu mna swagger!

Licha ya yote hao wote walipangiwa hivyo pindi tu walipozaliwa. Umdharau usimdharau mtu haibadilishi chochote kwenye forces of nature.

Hata wewe kuandika huu uzi ilishapangwa longtime leo utaandika huu uzi.
ni kweli kabisa! mpe ufafanuzi kila kitu huwa kipo kwenye road map ya kiroho! hakuna unachoweza badilisha kama Mungu akishaweka tiki katika ulimwengu wa kiroho! Sema hawa wanga na mashetani ndo huwa yanajitahidi kuharibu Destiny ya mtu Mungu aliyompa akija duniani
 
Kule kijijin kwetu kuna jamaa alikuwa anaitwa doctor jina la utani alilopewa na wadau jamaa alikuwa hajui kusoma Wala kuandika aliishia darsa la pili na baadae akaj akaoa mwanamke ambaye nae hauji kusoma Wala kuandika wakawa wanafnya Kaz za kujituma kutumikishwa na jamii ya pale Kijiji ikiwemo kwetu tulimtumia Sana kwenye Kaz za mikono mashamabani na kadhalika ,dokta alivyoona ameoa na kupata mtot wa kwanza wa kiume akaona ajiongeze aende mjini kutafuta vibarua vinavyo lipa vzr Basi na mkee wake pia wakaamua kwenda mjini kutafuta Kaz kwenye bustani za maua ,hapo mitaa ya ......

Baadae wakapta mtot wa pili bint sasa wakaendelea na mapambno ubaya yule dogo aliyezaliwa wa kwanza alikuwa mzito hata kusoma nae hajui Wala nni ,sas huyu wa pili aliyezaliwa Ni kiboko anashika namba moja kuanziaa darasa la Kwanza had la Saba ankimbiza muda wote ...sitaki kusema Yuko wapi kwa sas

Dokt amepambana mpk leo kajenga kanyumba Yake na ameweka na umeme wake na anawatot watatu , ukifika kwake na ukimuona Kaz anazofanya utaona kabsa kuwa unachezeage hella kwa vile dokta hajasoma popote ni haya haya maisha ya kuunga unga leo nae anheahimika vzr tu
MUNGU humuinua mtu kutoka mavumbini
 
ni kweli kabisa! mpe ufafanuzi kila kitu huwa kipo kwenye road map ya kiroho! hakuna unachoweza badilisha kama Mungu akishaweka tiki katika ulimwengu wa kiroho! Sema hawa wanga na mashetani ndo huwa yanajitahidi kuharibu Destiny ya mtu Mungu aliyompa akija duniani
Ni kweli kipa mtu anaramani aliyechorewa na MUNGU
 
Dah iyo signature Yako maamae. Humu ndani watu mna swagger!

Licha ya yote hao wote walipangiwa hivyo pindi tu walipozaliwa. Umdharau usimdharau mtu haibadilishi chochote kwenye forces of nature.

Hata wewe kuandika huu uzi ilishapangwa longtime leo utaandika huu uzi.
Dah Dumas the terrible amelike. Ulipoteaga wapi mkuu?
 
Kule kijijin kwetu kuna jamaa alikuwa anaitwa doctor jina la utani alilopewa na wadau jamaa alikuwa hajui kusoma Wala kuandika aliishia darsa la pili na baadae akaj akaoa mwanamke ambaye nae hauji kusoma Wala kuandika wakawa wanafnya Kaz za kujituma kutumikishwa na jamii ya pale Kijiji ikiwemo kwetu tulimtumia Sana kwenye Kaz za mikono mashamabani na kadhalika ,dokta alivyoona ameoa na kupata mtot wa kwanza wa kiume akaona ajiongeze aende mjini kutafuta vibarua vinavyo lipa vzr Basi na mkee wake pia wakaamua kwenda mjini kutafuta Kaz kwenye bustani za maua ,hapo mitaa ya ......

Baadae wakapta mtot wa pili bint sasa wakaendelea na mapambno ubaya yule dogo aliyezaliwa wa kwanza alikuwa mzito hata kusoma nae hajui Wala nni ,sas huyu wa pili aliyezaliwa Ni kiboko anashika namba moja kuanziaa darasa la Kwanza had la Saba ankimbiza muda wote ...sitaki kusema Yuko wapi kwa sas

Dokt amepambana mpk leo kajenga kanyumba Yake na ameweka na umeme wake na anawatot watatu , ukifika kwake na ukimuona Kaz anazofanya utaona kabsa kuwa unachezeage hella kwa vile dokta hajasoma popote ni haya haya maisha ya kuunga unga leo nae anheahimika vzr tu
Story nzuri, Mungu ni mpaji wa wote hana ubaguzi, Dokta Mungu kamjalia anafurahia maisha na watu kama hao hawana makuu na wanapendwa mtaani maana hawana majivuno.

Nature is real, msalimie dana dokta.
 
Mnakariri comments, be original
😀 😀 😀 😀 imebidi nicheke mkuu nadhani utakua ugonjwa maana kitu kikianza ni kama watu wanajitoa ufahamu kila mada where not necessary mtu anatupia kimsemo
 
😀 😀 😀 😀 imebidi nicheke mkuu nadhani utakua ugonjwa maana kitu kikianza ni kama watu wanajitoa ufahamu kila mada where not necessary mtu anatupia kimsemo
Kweli inakera sana unakuta lijitu linakuambia kapime afya ya akili,yeye lenyewe halijapima
 
Back
Top Bottom