Kwenye katuni hii Masoud Kipanya anatoa ujumbe gani?

Kwenye katuni hii Masoud Kipanya anatoa ujumbe gani?

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Wakuu

Zimwi likujualo halikuli likakwisha.

Wanabodi tusaidiane kunyambua ujumbe aliouwasilisha Kipanya kupitia katuni hii, umepata chochote au patupu?
1753343338087.png
 
Wakuu

Zimwi likujualo halikuli likakwisha.

Wanabodi tusaidiane kunyambua ujumbe aliouwasilisha Kipanya kupitia katuni hii, umepata chochote au patupu?
View attachment 3416515
Kuwa unakandamizwa, unasikia maumivu unatamani upige kelele na kusema yanayokusibu ila uko kwenye maji hivyo ukiachama maji yataingia mdomoni na bado inabidi ubane pumzi.
 
unazamishwa na bado wale wapuuzi kama TRA na idara nyengine wanakushikilia humo humo mpaka yule dagaa ambao wananchi wa mwisho kabisa wanashangaa
 
Nasikia ameamriwa asitoe katuni zake eti hana vyeti vya tasinia ya habari. Sikujua kuchora katuni unatakiwa uwe na diploma ya uandishi wa habari!
 
Kuna watu wamefungwa midomo wakawa bado wanapayuka.
Sasa wameamua kuwazima kabisa

Au usiponyamaza tunakutoa roho
 
Umekandamizwa kwenye maji, hupumui! Na kaa naye anakuja kukuongezea maumivu kwa kukuuma kwenye mguu mpaka damu zinatoka! Huu ni ukandamizaji wa ajabu sana.
 
Redio zote ziwe zinapiga singeli,bongo fleva 24/7 tu haha

Ova
 
Back
Top Bottom