Kwenye camera mbili za Infinix, Itel, Tecno ni moja tu ndo inafunction

Kwenye camera mbili za Infinix, Itel, Tecno ni moja tu ndo inafunction

Nimewahi kuwa na Tecno Cx Air, baadhi ya specifics zilikuwa tofauti kabisaa
Uliangalia exactly model ya hio cx Air? Maana unakuta simu moja mfano galaxy s8 ina varietes nyingi zipo version za exynos za snapdragon etc kutokana na eneo ilipokusudiwa kuuzwa.

Model huwa wanaziandika kwa juu kabla hujaanza kusoma specs.
 
Mkuu upo sahihi kwenye depth of field ila pia zipo camera nyengine ambazo zinafanya simultaneously na main camera vile vile.

Ukitaka kujua usanii wa Tecno/itel/infinix nenda gsmarena kaangalie specs za hizo camera ndio utajua.

Mfano hot 8 ina triple camera kama hivi
View attachment 1257568
Qvga mwaka 2019, hio ni 320x240 kama sio urembo inafanya nini hapo?

Mkuu upo sahihi kwenye depth of field ila pia zipo camera nyengine ambazo zinafanya simultaneously na main camera vile vile.

Ukitaka kujua usanii wa Tecno/itel/infinix nenda gsmarena kaangalie specs za hizo camera ndio utajua.

Mfano hot 8 ina triple camera kama hivi
View attachment 1257568
Qvga mwaka 2019, hio ni 320x240 kama sio urembo inafanya nini hapo?
Aiseee QVGA?!?! 🤣🤣🤣🤣🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️
 
Punguza USHAMBA!..
Wewe ndio mshamba bado, kwani unako pita sasa hivi mwenzio nalisha pita kitambo sana ndio maana nikagundua kuwa huo ulioutaja hapo juu ni uchafu tu kama takataka zingine
 
Wewe ndio mshamba bado, kwani unako pita sasa hivi mwenzio nalisha pita kitambo sana ndio maana nikagundua kuwa huo ulioutaja hapo juu ni uchafu tu kama takataka zingine
sasa hivi upo wapi?🙂
 
Uliangalia exactly model ya hio cx Air? Maana unakuta simu moja mfano galaxy s8 ina varietes nyingi zipo version za exynos za snapdragon etc kutokana na eneo ilipokusudiwa kuuzwa.

Model huwa wanaziandika kwa juu kabla hujaanza kusoma specs.
Niliangalia vizuri saana
 
Sijaona umuhimu wa kufuatilia uzi wote, ila nimefanya majaribio kwenye GALAXY A20 yenye dual camera.

Basically ukiziba camera ya juu, hakuna effect inayoonekana. Ila ukiziba camera ya chini hakuna picha inayoonekana. Bila shaka Main Camera ndio kila kitu, na ukiiziba basi ile camera ndogo haina maana.

Hivyo siwezi kuziponda hizo simu zingine kwani hii mechanism ni complex, na sio sawa na kuwa na camera mbili side by side bali camera zote zinafanya kazi pamoja kwa sheria za pamoja.
 
Sijaona umuhimu wa kufuatilia uzi wote, ila nimefanya majaribio kwenye GALAXY A20 yenye dual camera.

Basically ukiziba camera ya juu, hakuna effect inayoonekana. Ila ukiziba camera ya chini hakuna picha inayoonekana. Bila shaka Main Camera ndio kila kitu, na ukiiziba basi ile camera ndogo haina maana.

Hivyo siwezi kuziponda hizo simu zingine kwani hii mechanism ni complex, na sio sawa na kuwa na camera mbili side by side bali camera zote zinafanya kazi pamoja kwa sheria za pamoja.
Mkuu natumia Umidigi Power 64GB ROM 4GD RAM 16MP + 5MP rear Camera and 16MP Front Camera wakati nikiisubiria Umidigi A5 Pro. Hata Mimi nimeona nilivyozuia hizo Camera. Nadhani Kuna Team Work Fulani Kati ya hizo Camera.
 
Mkuu natumia Umidigi Power 64GB ROM 4GD RAM 16MP + 5MP rear Camera and 16MP Front Camera wakati nikiisubiria Umidigi A5 Pro. Hata Mimi nimeona nilivyozuia hizo Camera. Nadhani Kuna Team Work Fulani Kati ya hizo Camera.

Mkuu iyo simu umenunua apa apa tz? na vip camera yake pamoja bei?
 
Tatizo ulifanya utafiti wako huku upo wenge...infinix hot 7ina camera moja tu ya nyuma iyo ya chini ni torch inayotumika kama flashlight.... Rudia kutafiti
 
So kwa ushauri wako unashauri moja tuitoe? we bado ni mgeni kwenye camera...
Juzi nikawa naangalia camera ya Infinix hot 7 camera mbili nikawa nafikiria inakuwaje camera mbili zinfunction at the same time nikasema labda camera moja ni ya beauty nyingine in ya portrait au panorama. Si nikapata idea kwa nini nisizibe camera moja ili nione ipi ina kazi gani, nikakuta camera inayofanya kazi in ile ya juu ikimaanissha kwamba ile ya chini ni urembo.

Nikasema labda ni mbovu kuja kuangalia Tecno ya mtu yenye camera mbili ni hivo hivo.

Wazee hebu jaribuni kuangalia camera zenu alafu mnipe mrejesho.
 
HAHAHAHA sasa hiyo Qvga inatafuta nini hapo? hawa jamaa hawapo serious.
Mkuu upo sahihi kwenye depth of field ila pia zipo camera nyengine ambazo zinafanya simultaneously na main camera vile vile.

Ukitaka kujua usanii wa Tecno/itel/infinix nenda gsmarena kaangalie specs za hizo camera ndio utajua.

Mfano hot 8 ina triple camera kama hivi
View attachment 1257568
Qvga mwaka 2019, hio ni 320x240 kama sio urembo inafanya nini hapo?
 
Back
Top Bottom