Kwenu waoaji 2021

Kiukweli nimemfukuza mke wangu Kama miezi miwili iliyopita kutokana na tabia ya kuchepuka.
Nesi siyo mwanamke wa kuoa.
Nimereview miaka yote 10 ya ndoa nimegundua Hawa watu husahau haraka Sana kuliko hata simu inapodelete picha au meseji!
Tena anatangazia umma kuwa Mimi na yeye hatuendani sababu tu kapata hawala mwanajeshi ananizidi kipato!
Hakuangalia familia ya watoto wawili tuliowapata kwa kusafiri zaid ya KM 900 kwenda muhimbili kulazwa zaid ya Mara 4.
Ameachisha mtoto wa miezi 8 kunnyonya maziwa ya mama na kumpeleka kwa bibi yake na kumnywesha maziwa ya makopo ili tu asimbuguzi anapoliwa na huyo mwanajeshi.
Nimepoteza zaid ya 7.5kg kwa hili tukio.
Nasema ni heri ya mbwa ana shukurani kwa bwana wake anayempa chakula akimuona anatikisa mkia kuliko Hawa MANESI!
Kama umeoa nesi Kila la heri.
Sijaona wanawake wapumbavu Kama kada hii!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu!! sio manesi wote!! Wapo manesi wanao jitambua!! Huyo kakengeuka tu na urimbukeni wake!!

Halafu inabidi jamii tubadirike!! hii tabia ya kukosewa na mtu wa kada, furani ukanumlisha wote sio sawa!!

Mara utasikia wanawake wa siku hizi sio waaminifu!! Mara wanaume wa siku hizi sio waaminifu!!
Mimi nasema hivi! Waaminifu wapo! Na vicheche wapo! kazi ni kwetu waoaji na waolewaji! jinsi ya kumpata
Mwenza mwanifu!!
 
Kiukweli nimemfukuza mke wangu Kama miezi miwili iliyopita kutokana na tabia ya kuchepuka.
Nesi siyo mwanamke wa kuoa.
Nimereview miaka yote 10 ya ndoa nimegundua Hawa watu husahau haraka Sana kuliko hata simu inapodelete picha au meseji!
Tena anatangazia umma kuwa Mimi na yeye hatuendani sababu tu kapata hawala mwanajeshi ananizidi kipato!
Hakuangalia familia ya watoto wawili tuliowapata kwa kusafiri zaid ya KM 900 kwenda muhimbili kulazwa zaid ya Mara 4.
Ameachisha mtoto wa miezi 8 kunnyonya maziwa ya mama na kumpeleka kwa bibi yake na kumnywesha maziwa ya makopo ili tu asimbuguzi anapoliwa na huyo mwanajeshi.
Nimepoteza zaid ya 7.5kg kwa hili tukio.
Nasema ni heri ya mbwa ana shukurani kwa bwana wake anayempa chakula akimuona anatikisa mkia kuliko Hawa MANESI!
Kama umeoa nesi Kila la heri.
Sijaona wanawake wapumbavu Kama kada hii!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Mkuu Kama Ni kweli uliyoandika Pole Sana Mungu akupe nguvu na awasimamie Hao Malaika... Kiufupi nyakati Hizi Dunia ikielekea Ukingoni shetan anawatumia Sana Dada Mama Wake Mashangazi zetu kuvuruga Sana familia... Ni kuwaombea Sana kumbuka wanawake Ni dhaifu Sana Sana... Ndio Maana ukiangalia Maandiko Ni Kama vile tumeandikiwa wanaume.... Jiulize Kwa wakristo kwenye Biblia Kuna amri inasema usimtamani mke wa Jirani yako... Kwa Nini isiseme na wanawake wasitamani waume za Jirani zao??? Ni kwamba Mwanamke Hana nguvu za kukataa majaribu... Tena Kuna sehemu imeandikwa Yeye azinie ba Mwanamke Hana akili Kabisa... Afanya Jambo litakalo Muangamiza nafsi yake... Soo tusiwalaumu Sana Tumuachie Muumba ipo siku atajirudi na Maisha yataendelea...
 
Ndio hivyo!
Katika kuoa mi naona Kama kamali maana alivyobadilika sikutegemea kutokana na tuliyoyapitia. Ni mengi Sana mpaka unafikia kusema labda Kuna mtu niliwahi kumfanyia ubaya mungu ananilipa

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Pole sana ndugu yangu!! Kisasi kizuri kwake, hakikisha unafanikiwa kumzidi yeye! Pambana iliufanikiwe zaidi yake!!
Siku hizi watu wengi sio waaminifu!!
Mi nilioa mutawa( sister) aliacha mpaka usister kwa ajili yangu!! Nami nikamuamini!! Lakini kilichotokea Mungu ndie anajua!!
 
Maisha ndivyo yalivyo.....
Wakati mwingine unavyodhani wewe sivyo. To be honest....and I am sorry to say this ila sidhani kama huyo mkeo aliwahi kukupenda. Sio kwakukuvunjia heshima kwa kiwango hicho.

Pili....anaonekana ni mbinafsi sana!!!Like seriously mama gani ana-prioritise mapenzi ya nje juu ya mwanae mwenyewe wa kumzaa???
Mwenzio hata hakukupa nafasi ya kumjua kiukweli...au labda ulikuwa blinded by love ukashindwa kung'amua mapema the kinda person she is???

All in all...ili kuepuka yale ya gunia la mkaa, kaa chini utafakari nini haswa unataka kwenye haya maisha.Kama amani ni mojawapo (on top of your lost actually) then fanya maamuzi magumu uanze upya. Haya maisha ni magumi sana kung'ang'ana na watu/vitu vinavyokunyima furaha na amani.
Inawezekana maana nishashuhudia jamaa yangu yakimkuta hayo halafu Mwanamke hata kuomba samahani Hana na watoto kapeleka ukweni wote wawili na anaweza kukaa miezi hawasiliani nao... Na hebu fikiri amewazaa wote kwa operesheni.... Jamaa mwaka was tatu huu Ni Kama akili haijamkaa sawa amekua mtu was kucheza kamari Muda wote... Anaishi Kama panya haeleweki Tena ingawa amesoma na alikua na ndoto kubwa mno....shetani akishaona hapa Kuna kizuri basi atafanya mpaka mshangae
 
Kweli mkuu au kamchapa Beto..!
Unajua unapoamua kufunga ndoa na mwanamke maana yake Kuna uwezekano ukaishi nae muda mrefu kushinda hata wazazi wako waliokuzaa.
Nilimuamini.
Sikutaka kubugudhi ingawa alikuwa na changamoto za uzazi nilimvumilia nikijua mengine nimuachie mungu tu.
Imagine unaenda kazin kwake unakuta katambulisha hawala Kama mume wake.
Hapohapo anarudi nyumbani kulala kitanda kimoja na wewe.
Msishangae ukiona mtu kapiga mke wake shoka la kichwa

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Ninaamini kila mtu anao mtu aliye kwenye mzunguko wa maisha yako ,yaani kama wewe ni mtu wa bata basi hata mke wako utampatia kwenye bata trust me, na mungu pia anakupatia wa kuendana na wewe .

Hauwezi niambia mzinifu akaoa binti mcha mungu aliyetulia , na aliyekinai mambo ya kidunia, always mtakayeoana naye ana reflect tabia yako iliyo jificha au ambayo ipo wazi.
Wewe acha bhana!! Mimi nilikuwa mtu wa kanisani kabisa!! Sizani kama kuna vyeo ambavyo sikupewa kanisani!! Na nilioa sister baada ya kuamua kuacha usister!! na sikuwahi kutoka nje toka nimuoe!! lakini kilichotokea Mungu ndie anajua!!
 
Mkuu usinitishe ukipata mwanamke mwenye akili ya maisha inatosha hayo mengine ni ya ziada soon nitaukimbia ukapera
 
Mkuu nionavyo unapitia stage za majonzi (grief) ukizimaliza utajioma mpya zipo tano tu.

1.Denial
2.Anger
3.Bargaining
4.Depression
5.Acceptance

Naona upo stage ya pili , kwa jinsi utakavyozidi kujipa muda uyajikuta mwenyewe unazipitia bila hata kujua na baada ya hapo ndipo utarudi kawaida.
Namshukuru mkuu. Kuna kitu najifunza
 
Pole sana ndugu yangu!! Kisasi kizuri kwake, hakikisha unafanikiwa kumzidi yeye! Pambana iliufanikiwe zaidi yake!!
Siku hizi watu wengi sio waaminifu!!
Mi nilioa mutawa( sister) aliacha mpaka usister kwa ajili yangu!! Nami nikamuamini!! Lakini kilichotokea Mungu ndie anajua!!
Duu
 
Tatizo ni nesi,nina ushuhuda mdogo angu aliowa nesi mbwa yule anadanganya ana shift ya usiku anaenda kukesha bar na gesti,dogo amekaa mpaka jela kwa ajili yake.

Malaya sana hawa,kwa ufupi mwanamke asifanye kazi za usiku kama hayupo understanding atatembea ananuka shahawa za mahawara,kama unae wako usijifariji wote sawa hao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ukweli wa anachozungumza jamaaa na wewe mkuu. Reputation za manesi especially vijana ni shida sana, wengi huwa ni victims wa madaktari wa kiume wanaoshinda nao kwenye shift za usiku. Halafu sijui kwanini huwa wana inferioty complex kwa madaktari!

Nimeona kuna bwege anajifanya mjuaji eti tatizo sio unesi wa huyo mwanamke! Watu hawajui tu, haya mambo yanaongelewa mno, na wanaume waliokuwa tayari kusikiliza walionywa sana. Kama umempenda nurse au daktari wa kike hakikisha unafanya uchunguzi wa kutosha! Utatushukuru hangover ya mapenzi ikiisha. Common sense mbele, mapenzi nyuma.
 
Hapana mkuu!! sio manesi wote!! Wapo manesi wanao jitambua!! Huyo kakengeuka tu na urimbukeni wake!!

Halafu inabidi jamii tubadirike!! hii tabia ya kukosewa na mtu wa kada, furani ukanumlisha wote sio sawa!!

Mara utasikia wanawake wa siku hizi sio waaminifu!! Mara wanaume wa siku hizi sio waaminifu!!
Mimi nasema hivi! Waaminifu wapo! Na vicheche wapo! kazi ni kwetu waoaji na waolewaji! jinsi ya kumpata
Mwenza mwanifu!!
Ndio, sio wote. Lakini tafadhali someni comment yangu hapo juu. Kuwa mwangalifu na manesi na madaktari wa kike, wengi ni shida! Waoaji mtatushukuru! Penda lakini please, be rational.
 
Mkuu usinitishe ukipata mwanamke mwenye akili ya maisha inatosha hayo mengine ni ya ziada soon nitaukimbia ukapera
.....................Dogo nakuhakikishia,binuka inama jiviringishe yaani we piga sarakasi zooote unazozijua wewe ila kama mwanamke unaetaka kumuweka ndani ana moja wapo wa sifa zilizotajwa pale main post,kaa chini tumia hiko kichwa vizuri,na kinachowaumiza vijana wa kileo ni hii kitu so called “mwanamke mwenye akili ya maisha”,unaowa mwanamke aje kukusaidia maisha?nani amekudanganya?

Hii ni wide forum hatujuani so sina haja wala nia ya kukutisha we soma shuhuda za wenzako humu ukiweza kuelewa elewa kama hukuelewa leta ubishi wa kenge kukataa kuumia mpaka damu zimtoke masikioni uone utakavyopoteana.

Mwanamke akikubadilkia hapa boxer utavaa kichwani acha masihara!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye wanawake warembo apo umebugu. Wanawake wenyesura ngumu ndyo wanaoongozwa kutongozwa kwa utafiti. Hii ni kwasababu kila aina ya mtu statongoza. Ila mwanamke mrembo wanaume huwa tunawagwaya na wengi hulalamika kutotongozwa.
 
Wewe acha bhana!! Mimi nilikuwa mtu wa kanisani kabisa!! Sizani kama kuna vyeo ambavyo sikupewa kanisani!! Na nilioa sister baada ya kuamua kuacha usister!! na sikuwahi kutoka nje toka nimuoe!! lakini kilichotokea Mungu ndie anajua!!
😂😂😂 toka umuoe haukuwa kutoka nje ila kabla ya kumuoa ulikuwa unapiga tu wengine fresh , sasa hauoni kuwa umeoa wa kuendana na wewe?

Yeye mwenyewe unakuta alikuwa anaficha mambo yake tu , sasa ndo ukaja kuona hadharani.
 
toka umuoe haukuwa kutoka nje ila kabla ya kumuoa ulikuwa unapiga tu wengine fresh , sasa hauoni kuwa umeoa wa kuendana na wewe?

Yeye mwenyewe unakuta alikuwa anaficha mambo yake tu , sasa ndo ukaja kuona hadharani.
Ingawa nilikuwa napiga!! lakini sikuwa mchafuzi sana!!
 
toka umuoe haukuwa kutoka nje ila kabla ya kumuoa ulikuwa unapiga tu wengine fresh , sasa hauoni kuwa umeoa wa kuendana na wewe?

Yeye mwenyewe unakuta alikuwa anaficha mambo yake tu , sasa ndo ukaja kuona hadharani.
Tufanye yameisha mkuu!! maana hakuna tunachoweza badirisha!!
 
Back
Top Bottom