ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,972
Oooh mtoa mada. Unanifanya nikose nguvu hata ya kubonyeza kiibod. Akili inarewind mabalaa yalopita huko nyuma mpaka nasema mtoa mada aliniona nini?
Ila lawama ni kwao hao washka mimba. Inakuaje unajiaminisha kupindukia mpaka unajitoa muhanga wa kuishika hiyo kitu?
Aaaah! inaniumaaaaaaa!
Ila lawama ni kwao hao washka mimba. Inakuaje unajiaminisha kupindukia mpaka unajitoa muhanga wa kuishika hiyo kitu?
Aaaah! inaniumaaaaaaa!