Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,621
Tatizo hapana ya mwanamke wa kitanzania huwa si ya ukweli. Unaweza mtokea mwanamke akakuchomolea ukakausha miaka miwili baadae ukamtokea rafiki yake akaanza kukuletea fitina ukichunguza kwanini anakuharibia unagundua kumbe alikuwa anakuelewa ila anashangaa why unamfuata rafiki yake na wakati yeye haukumkazia.....Habari wana MMU,
Nataka kusema na wanaume, mtu ukimuomba namba ya simu akikukatalia elewa tu kuwa umekosa jamani sio unalazimisha utadhani unamdai mtu khaa.
Namba umekosa unaanza kumfata mtu unalazimisha uende anakokwenda akisimama unasimama akikatisha upo na maswali kama polisi kwani lazima akubali tongozo lako?
Mtakuja pigwa bure shauri yenu.
So hii kitu huwa ni hatari sana.....