Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,859
- 41,193
Haipokelewi0677 062998
Haipokelewi0677 062998
Piga tena sasa simu iko hapaHaipokelewi
Utaambulia kuombwa hela..kitu sisi mabaharia tunadhani demu akikupa namba tayari umemla la hasha! unaweza kupewa no. na ukaambulia patupu
Yaliyonikuta ni hayo pamoja na ku-view status what'supUtaambulia kuombwa hela..
Habari wana MMU,
Nataka kusema na wanaume, mtu ukimuomba namba ya simu akikukatalia elewa tu kuwa umekosa jamani sio unalazimisha utadhani unamdai mtu khaa.
Namba umekosa unaanza kumfata mtu unalazimisha uende anakokwenda akisimama unasimama akikatisha upo na maswali kama polisi kwani lazima akubali tongozo lako?
Mtakuja pigwa bure shauri yenu.
yaliyonikuta ni hayo pamoja na ku-view status what'sup
Habari wana MMU,
Nataka kusema na wanaume, mtu ukimuomba namba ya simu akikukatalia elewa tu kuwa umekosa jamani sio unalazimisha utadhani unamdai mtu khaa.
Namba umekosa unaanza kumfata mtu unalazimisha uende anakokwenda akisimama unasimama akikatisha upo na maswali kama polisi kwani lazima akubali tongozo lako?
Mtakuja pigwa bure shauri yenu.
Hapana mkuuKuna demu mmoja niliombaga namba hadi alinitukana,lakni sikukata tamaa nikaendelea kujaribu siku aliyonipa namba huwezi amini nilimtafuna siku ile ile,nikawa namuuliza why alikuwa ananinyima namba akasema "wanawake tukiwa kwenye penzi jipya huwa tunaweweseka"nikamuuliza kwahyo vp mmeachana au vp akasema hawezi show mbwa yule japo nampenda
I guess na ww upo kwenye penzi jipya ndomana unaweweseka