Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,413
- 5,318
- Thread starter
- #81
Hapo mwisho umeniacha mkuu,unamaanisha bkMahari katika uislamu ni zawadi ambayo huitoa mwanamme kumpa mwanamke kabla ya ndoa kwa kadri walivyokubaliana. Hakuna kima cha chini wala cha juu kilichochowekwa katika utoaji wa mahari na pia si lazima iwe ni pesa inaweza kuwa zawadi yoyote ya halali. Kiufupi mahari katika uislamu yanayofautiana kutokana na sehemu na mila zao lakini msingi mkuu ni mmoja ambao ni zawadi tu. Sehemu kama Zanzibar wanawake huolewa kwa milioni moja hadi tano (hili ni la uhakika kabisa) kwa pesa taslimu au thamani ya pesa mara nyingi inakuwa ni furnitures au seti ya dhahabu.
Huyo jamaa akili Hana.Kwa hiyo thamani ya mwanamke inaoneshwa/inapimwa kwa mahari kubwa?
Cjazungumzia mtu atoe mamulioni mkuu anapotaka kuowa, nimesema kiasi atakacho taja mwanamwali basi kitoe sivyema kulia lia na kuonyesha udhahifu huo itamfanya hata muhusika kutokukuamini na hata kuona huwezi kumuhudumia, nadhani nilimaanisha hivyo.Huyo jamaa akili Hana.
Watu wangapi tunawaona wanaoa kwa nahari kubwa na sherehe ya harusi ya mamilioni lakini baada ya mwaka tu ndoa inavurugika kila mtu kivyake.
Kutoa pesa nyingi si kipimo Cha upendo.
Yaani mtoa mada Kama ni mwanamke basi wanaokuja kwa swaga za hela itakuwa wanajizolea mzigo watakavyo kisa Wana muonekano wa pesa.
Mtoa mada anaonekana Bado mtoto anayeishi kwa shemeji yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ukiona bado hujajipanga wapishe wengine huku ukiendelea kujipanga, samahani mkuu kama nimekukwaza kwa mada yangu.Huyo jamaa akili Hana.
Watu wangapi tunawaona wanaoa kwa nahari kubwa na sherehe ya harusi ya mamilioni lakini baada ya mwaka tu ndoa inavurugika kila mtu kivyake.
Kutoa pesa nyingi si kipimo Cha upendo.
Yaani mtoa mada Kama ni mwanamke basi wanaokuja kwa swaga za hela itakuwa wanajizolea mzigo watakavyo kisa Wana muonekano wa pesa.
Mtoa mada anaonekana Bado mtoto anayeishi kwa shemeji yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
No sio kweli.Ila ukiona bado hujajipanga wapishe wengine huku ukiendelea kujipanga, samahani mkuu kama nimekukwaza kwa mada yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mahali inaruhusiwa kulipa kwa awamu na kuweka deni.Cjazungumzia mtu atoe mamulioni mkuu anapotaka kuowa, nimesema kiasi atakacho taja mwanamwali basi kitoe sivyema kulia lia na kuonyesha udhahifu huo itamfanya hata muhusika kutokukuamini na hata kuona huwezi kumuhudumia, nadhani nilimaanisha hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima tufikirie na makuzi ya msichana ambayo yalipekea mpaka ukamtamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo thamani ya mwanamke inaoneshwa/inapimwa kwa mahari kubwa?
Duuh! Haya bhanaMrembo hapa umemaliza kila kitu. Nilitaka nichangie chochote ila nilivyosoma comment yako,nikasema nitosheke na jibu lako sababu limejitosheleza.
Mbona umeenda mbali sana ndgKwa hiyo wanaotoa milioni + wanaoa ambao hawajazibuliwa.Ni ukweli mchungu lkn mnivumilie, jamani wakaka Kama mmeamua kuoa oeni tuuuuu.Lkn Mambo ya vizibo sijui nn achaneni nao.Unakuta mkaka anaingia ukumbini anacheza huyoooo bidada kavaa shela utasema malaika.Ukumbini kaalika wanaume Kati yao wasiopungua wat 5 washamla.Wengine wiki hiyo hiyo ya ndoa.Muda wa zawadi wanakuja kukushika mkono wa kejeli,bwana harusi unakenuuuuuua utasema umeahidiwa mbingu.
Haya, nimawazo yako nawewe hakuna wakupingaMachungu ya nini humuuzi, bali ndoa inaunganisha undugu, kati ya jamii mbili. Na wala siyo vinginevyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikutana na nakoo ambayo haijastaarabika haya ndiyo matokeo, ila kama mkwanja upo ndg yangu Nahonyo toa ili kupoza machungu ya wakwe zakoHaya mambo ya mahali kubwa, yamefanya baadhi ya jamii, kuhesabu mke kama amemnunua, hata amtese kiasi gani, wazee wake hawamsikilizi.
Wakiogopa kurudisha mali wazopewa, kama mahali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja mkuuEti, kwahiyo ndoa ni biashara siyo, bidamu anadhamanishwa na kiasi gani cha pesa, ndiyo maana wenzetu mahari ni zawadi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app