Kwenu ndg zangu waislam

Kwenu ndg zangu waislam

Wewe hata unachoandika ukielewi na pia wewe ndiyo ujui dhamani maana yake nini. Hivi kwa akili yako ndogo unadhani mahari hata kama utatoa Billions ndiyo sawa na dhamani ya mwanamke?

Nani kakwambia MTU huwa anadhamanishwa? Kama MTU anadhamanishwa wewe ni wa shillings ngapi nije nikununue sasa hivi, usiofu nitakupa kazi nyingine tofauti na ya mwanamke, lengo tu ni kukununua na kukumiliki kwa kukudhamanisha kama unavyo wadhamanisha wenzio.

Hacha ulimbukeni wa kijinga wa kufikiri kila kitu ni pesa. Mwanamke siyo bidhaa kama gari, nyumba, ndege, nk hadi useme unamdhamanisha kwa kutoa mahari kubwa. Una mawazo ya kimasikini sana ya kudhani utakuja kutajirika kwa kupitia mahari, tumia akili na nguvu utafute pesa mapema usisubiri mahari.

Mabinti na vijana wengi siku hizi baada ya kugundua kuna watu wajinga kama wewe wanachukuana bure. Wakisha peana mimba, wanachukuana mazima na kuanza maisha ya familia bila hiyo senti moja ya mahari. Sasa wewe unayesubiri kutajirika kupitia mahari utakufa kwa msongo wa mawazo na pressure. Hacha upimbi wewe boya mpenda kuelea elea.
Duuuh! Mkuu tibishane Kwa hoja na siyo kutukanana, nikweli huenda sikufikii hata Kwa elimu uliyokuwa nayo ila kupitia hii comment imeonyesha dhahiri huna hata chembe ya wisdom ila yote na yote punguzen kulia lia binti akitaja 100000 toa nasiyo kuomba upunguziwe, ikiwa huwezi kutoa hicho kiasi mtaweza kweli kulishana au mtashindia ngono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi hamjambo

Niende moja kwa moja kwenye mada, leo nilienda kwafundi nguo kushona nguo yangu asa wakati nipo pale kuna mazungumzo yalikua yanaendelea kati ya fundi na Mzee mmoja ambae ckujua jamaa alikua namahusiano gani na yule mzee

Yule fundi alikua anamwambia yule mzee masuala ya huko alikopelaka posa, eti ooh mzee kule ninakotaka kuoa yule binti kanitajia laki2 nimejaribu kumbembeleza lakini katia msimamo, hataki kunipunguzia

Nikajua huyu ni muislamu tuu na sivingine,

ndgu zangu waislamu hebu jaribuni kuwathamini hawa viumbe hata kama mmekuta washazibuliwa

Ikiwa hela ya posa inakushinda jee hiyo ndoa mtaiendeshaje acheni kufuata mkumbo kama hujajipanga si lazima uowe
Yaani mnachofikiria nyinyi ni ngono tuuu na sivingine

Nije upande wa mabinti, ukishaona janaume linalialia hivyo liblock achana nalo, linakuoa kwaajili yangono hilo na cvinge tena linataka uwe mtumwa wake
Narudia tena usiolewe na hilo chovyachovya

Siluhusu mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ulioa wapi na ulitoa bilioni ngapi mahari? Unaleta dharau wakati mwenyewe unapeleka kushona mikojo yako iliochanika kwa fundi ungekua mtu sana tungekusikia kwenye malls unanunua nguo.. wanapenda ngono kumbe watu wanaoana wakafanyaje kama sio hiyo ngono


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe ulioa wapi na ulitoa bilioni ngapi mahari? Unaleta dharau wakati mwenyewe unapeleka kushona mikojo yako iliochanika kwa fundi ungekua mtu sana tungekusikia kwenye malls unanunua nguo.. wanapenda ngono kumbe watu wanaoana wakafanyaje kama sio hiyo ngono


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sawa ndg umesomeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unaona kama hiyo laki2 ndogo ili binti aolewe wakati wenzake huko india wanatoa posa ili waolewe

Kama analengo lakuolewa pesa mali si kikwazo, hua nawakubali waislamu kwenye swala la mali maana wamelirahisisha sana.

Ukienda kwa familia wanazosali binti anaweza kukwambia ulete kuran tu ndiyo isimame kama mali

Lakini huku kwa wakristo utapewa karatasi hata tatu zilizoorodhesha mahitaji ya kutoa kabla ya mali
Mali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza lazima ujue ustaarabu wa kuoa na kutoa mahari umekuja na waislam. Niambie yesu kristo unayemfuata wewe wapi kaoa na wapi katoa mahari. Au kama wewe unaamini kuna kuoa na kutoa mahari niambie unamfuata nani katika imani yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
We ni kunguni kweli, Wakristo suala la kutoa mahari tulianza kujifunza kwa Ibrahim, Isaka na Musa

Musa aliagizwa kupeleka mahari kwa wakwe.

Isaka aliandaliwa mahari na Babaye ili apeleke kwa kija Rebecca

Kumbe unamjua Yesu tu.

Ninyi ndio wale mnaosema eti Adam alikuwa Muislam wakati hakuwa kuslimu kokote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa hela ya posa inakushinda jee hiyo ndoa mtaiendeshaje acheni kufuata mkumbo kama hujajipanga si lazima uowe
Yaani mnachofikiria nyinyi ni ngono tuuu na sivingine
nakumbuka kuna wanandoa kule kenya walijiua sikumbuki kisa ni nini.... wakristo hua mnapenda kick za kijinga mwisho mnaishia kujiua.
 
Wanajamvi hamjambo

Niende moja kwa moja kwenye mada, leo nilienda kwafundi nguo kushona nguo yangu asa wakati nipo pale kuna mazungumzo yalikua yanaendelea kati ya fundi na Mzee mmoja ambae ckujua jamaa alikua namahusiano gani na yule mzee

Yule fundi alikua anamwambia yule mzee masuala ya huko alikopelaka posa, eti ooh mzee kule ninakotaka kuoa yule binti kanitajia laki2 nimejaribu kumbembeleza lakini katia msimamo, hataki kunipunguzia

Nikajua huyu ni muislamu tuu na sivingine,

ndgu zangu waislamu hebu jaribuni kuwathamini hawa viumbe hata kama mmekuta washazibuliwa

Ikiwa hela ya posa inakushinda jee hiyo ndoa mtaiendeshaje acheni kufuata mkumbo kama hujajipanga si lazima uowe
Yaani mnachofikiria nyinyi ni ngono tuuu na sivingine

Nije upande wa mabinti, ukishaona janaume linalialia hivyo liblock achana nalo, linakuoa kwaajili yangono hilo na cvinge tena linataka uwe mtumwa wake
Narudia tena usiolewe na hilo chovyachovya

Siluhusu mapovu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unashida mahali.

Anyways.

Kila mtu ashinde mechi zake bwana.
 
Mahari katika uislamu ni zawadi ambayo huitoa mwanamme kumpa mwanamke kabla ya ndoa kwa kadri walivyokubaliana. Hakuna kima cha chini wala cha juu kilichochowekwa katika utoaji wa mahari na pia si lazima iwe ni pesa inaweza kuwa zawadi yoyote ya halali. Kiufupi mahari katika uislamu yanayofautiana kutokana na sehemu na mila zao lakini msingi mkuu ni mmoja ambao ni zawadi tu. Sehemu kama Zanzibar wanawake huolewa kwa milioni moja hadi tano (hili ni la uhakika kabisa) kwa pesa taslimu au thamani ya pesa mara nyingi inakuwa ni furnitures au seti ya dhahabu.
 
Back
Top Bottom