Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Kabisa, ukaribu nilishaupinga toka nakua kwakuona familia za watu wanavyosumbuana kisa huo uwifi, mawifi pande zote mbili ni tatizo katika familia. Either wewe ni mke au ni dada wa mume kifupi ni kuwa mbali na hao wifi zako, mkutane kwasababu maalum tuu unless otherwise utajuta kwanini uliolewa au kwanini kakaako alioa pale.Na ukianza mazoea ndo tabu huanzia hapooo....
Ni kukaa mbali nao kwa kweeli