The Hyper
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,719
- 983
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Naandika hili kuwakumbusha juu ya jambo moja kati ya mengi yaliyo kwenu;
¶Limetoka agizo la kupandisha vyeo watumishi wenu wote wanaostahili lakini mnajivutavuta hadi sasa. Payroll ya mwezi huu kwa
watumishi wenu hakuna mabadiliko.
¶Kwenu wahusika katika idara zote;
Je, mmvumiliwe hata lini?
Je, mmenia kuifarakanisha serikali&watumishi wake?
Au mnataka mmalize vibaya?
Wasalaam!!
Naandika hili kuwakumbusha juu ya jambo moja kati ya mengi yaliyo kwenu;
¶Limetoka agizo la kupandisha vyeo watumishi wenu wote wanaostahili lakini mnajivutavuta hadi sasa. Payroll ya mwezi huu kwa
watumishi wenu hakuna mabadiliko.
¶Kwenu wahusika katika idara zote;
Je, mmvumiliwe hata lini?
Je, mmenia kuifarakanisha serikali&watumishi wake?
Au mnataka mmalize vibaya?
Wasalaam!!