Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,143
Hivi inakuwaje mtu mzima unaenda chooni haja kubwa na kikopo cha maji lita moja tu badala ya ndoo yenye maji mengi? Tabia hii nimeiona sana mikoa karibia yote ya Pwani ambako wengi wanatumia vyoo vya kulenga, unawezaje kunawa vizuri na tumaji tuchache namna ile na kutoa chembechembe zote za inya na kunawa mikono vizuri?
Tubadilike jamani.
Tubadilike jamani.