aisee eti 'tupu' hili neno la zamani sanaTupu ya nyuma kwa haja kubwa, ya mbele kwa haja ndogo
Wastaarabu huanza na toilet paper huja maji na unamalizia na toilet paper kujikaushaUnajua wazungu wanatushangaa sana watu weusi tunavyotumia maji kuchamba. wanatuona wachafu kishenzi. Wachina ndiyo waliogundua toilet paper, basi kitu ambacho wachina huwadharau wahindi ni kitendo cha wahindi kuchambia mikono.
Ndio maana mimi naenda na majani! kama nikikosa Gunzi la mhindi lakini.
Ndio hivyo mkuu mara moja moja kutamka hivyo sio mbayaaisee eti 'tupu' hili neno la zamani sana
Huwa linatumiwa sana na watu wa diniNdio hivyo mkuu mara moja moja kutamka hivyo sio mbaya
Ulishawahi test mkuu umejuaje kutumia maji mwisho wa siku utaishia kujitekenya na kupata utamu?Bora maji kidogo maana maji mengi mwisho utaanza kujitekenya uone utamu utaishia kuwa punga tumia tissue/ Toilet news ndio safi hahahahaaaaa ni utani tuuu
Hiyo ndio tamaduni yetu sisi Waafrika maji tuwaachie wahindi kwa sababu wao wanakula sana pili pili hivyo kupata unafuu wa kuwashwa wakati wa kumaliza nya.Ndio maana mimi naenda na majani! kama nikikosa Gunzi la mhindi lakini.
Avumae baharini ni papa kumbe na wengine wamoHuwa linatumiwa sana na watu wa dini
unaenda toi na kikopo afu ghafla kabla hujashika adabu zako kikopo kinaanguka maji yamwagika na nje kuna foleni wasubiriwa utoke aingie mwingine
Nakufata unifafanulie zaidiAvumae baharini ni papa kumbe na wengine wamo
Ufafanue methali bana ndio ujumbe wenyewe huoNakufata unifafanulie zaidi
Hahah!! Sawa nduguUfafanue methali bana ndio ujumbe wenyewe huo
hahahahahaa eti kitu kama "msasa" daahHiyo ndio tamaduni yetu sisi Waafrika maji tuwaachie wahindi kwa sababu wao wanakula sana pili pili hivyo kupata unafuu wa kuwashwa wakati wa kumaliza nya.
Toilet paper tuwaachie wachina kwa sababu wao wanakula vitu laini laini kwa hiyo ata Nnya yao iko soft inafutika kwa harak.
Waafrica yetu migunzi na majani magumu magumu kwa sababu ya aina ya chakula tunachokul hivyo Nnya inayotoka si ya mchezo inahitaji kitu kama msasa kuchambisha vizuri na gunzi ndio First choice.
Hivi inakuwaje mtu mzima unaenda chooni haja kubwa na kikopo cha maji lita moja tu badala ya ndoo yenye maji mengi? Tabia hii nimeiona sana mikoa karibia yote ya Pwani ambako wengi wanatumia vyoo vya kulenga, unawezaje kunawa vizuri na tumaji tuchache namna ile na kutoa chembechembe zote za inya na kunawa mikono vizuri?
Tubadilike jamani.
Wee mtu unaingia chooni, tena cha public kama hotelini au bar, unakuta zana mbili: 1. gudulia kubwa lenye maji 2. Kopo dogo la kuchotea. Unaambiwa hizo ndizo zana pekee kwa ''kazi'' yako uliyofanya. Tutaacha kujadili kweli!Nasikitika tu kwamba mpaka 2018 bado tunajadili KUCHAMBA.
Ndio mkuuhahahahahaa eti kitu kama "msasa" daah