Nenda mliman City crdb wale ni takataka sanaHii kitu ilinikuta NMB msasani na Tegeta yaani wale mbwa wanajivuta mpaka una choka, na hawajali wala nini mtajiju wenyewe kaeni foleni hapowana boa sanahalafu nyie mnao sema pesa kutoa kwa sim banking , Nmb mkononi au ATM kuna huduma zingine huwezi kutoa ATM wala sim banking msikariri mambo
Pole mkuu, ni tawi lipi na sehemu gani? Sema ni tawi lipi tupeleke ujumbeLeo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.
Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.
Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.
Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.
Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuviruga.
Nchi ngumu sana😄Leo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.
Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.
Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.
Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.
Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuviruga.
Haiwezekani wote tukawa na hela, itakosa thamani. Mabank yaboreshe huduma. Elimu kwa wateja wao iwepo, deposit below 5m na withdraw zifanyike kwa mawakala na ATM tu.tafta hela ndugu wenye hela hawakai foleni ukiwa na hela unaweza enda piga stor na meneja huku hela zako zinaandaliwaila kama una vimilioni lazima usimame sana foleni
Ndio maana wakenya wakija huku Tz ni rahisi kiajiriwa. Kwa mfano huku Arusha wakenya kibao wako katika tourism sector Kama waajiriwaKwa upande wa customer service kusema kweli tuko nyuma sana! Na hii ni karibu kila sekta. Hata tatizo sijui ni nini yaani...
Mkuu una matatizo ya machoAlafu Hii shida ipo CRDB matawi karibia yote DSM. Hasa tawi la kijitonyama unaweza ukalia machozi.
Jana nilikua CRDB KIBAHA ,Hili Ni tawi la kimkoa, Kuna keshia mmoja tu, keshia wapili yupo Ila anakagua simu yake hapokei Wala kutoa pesa. Keshia wa tatu anahudumia watu wa Mpesa tu.Leo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.
Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.
Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.
Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.
Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuviruga.
Utadhani hawaendi chooniHuwa naona crdb ya Lumumba wahudumu wapo wengi,na kuna madirisha mengi pia.
Ila CRDB ni kimeo kwenye huduma ukienda bank. Unakuta wateja zaidi ya 100 dirisha moja ndo inakuwa wazi, shame on them. Halafu wahudumu wanavyoringa utadhani ile hela ndo ya kwao.
Hebu tuambie ni tawi lipi na liko mji ganiLeo nimekwenda Benki CRDB kuchukua pesa yangu mwenyewe, lakini nimeteseka kama vile nimeenda kuomba pesa Bure.
Foleni watu 100 muhudumu Mmoja tu. Wengine movement haziishi, mara atoke mara arudi anageuzageuza makaratasi.
Watu wamenuna mpaka saa kumi Bado Kuna zaidi ya watu 90 ambao nyuso zimekosa matumaini.
Mbaya zaidi linakuja jamaa na misevu linavunja foleni mpaka mbele dirishani wanaanza kupiga stori wanakenua nusu saa.
Naapa sirudii tena CRDB Bora nizichimbie chini. Bado makato yanauma na nyie mnatuviruga.