mansolata
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 503
- 317
ExplainMIKOA YA KUSINI DHULUMA NI NADRA.
ExplainMIKOA YA KUSINI DHULUMA NI NADRA.
Nilikua nimekaa siku moja sina hili wa lile, basi kuna bi dada mmoja nilikua nimesahau ata kama niliwahi kumtongoza, hamadi napigiwa simu niende nikapewe papuchi, kweli wanawake wema bado wapo.
Safi mkuu. Weye ulipendelea tukuombee uviokote sehemu gani ili usipate usumbufu wa kuswampa kuviendea?Mimi nami mniombee niokote vichwa vya treni.
hahahaaa bandariniiii kuna ziara za kushtukiza. Vipelekeni kwa Gwajima.Safi mkuu. Weye ulipendelea tukuombee uviokote sehemu gani ili usipate usumbufu wa kuswampa kuviendea?
Aisee that's the greatest WEMA of allNilikua nimekaa siku moja sina hili wa lile, basi kuna bi dada mmoja nilikua nimesahau ata kama niliwahi kumtongoza, hamadi napigiwa simu niende nikapewe papuchi, kweli wanawake wema bado wapo.
Nilikua nimekaa siku moja sina hili wa lile, basi kuna bi dada mmoja nilikua nimesahau ata kama niliwahi kumtongoza, hamadi napigiwa simu niende nikapewe papuchi, kweli wanawake wema bado wapo.
mkuu unaharibu uzi wenye uhai ndani yakeNilikua nimekaa siku moja sina hili wa lile, basi kuna bi dada mmoja nilikua nimesahau ata kama niliwahi kumtongoza, hamadi napigiwa simu niende nikapewe papuchi, kweli wanawake wema bado wapo.
Kwa kizazi hiki unadhani kuna chakushangaa hapoNilikua nimekaa siku moja sina hili wa lile, basi kuna bi dada mmoja nilikua nimesahau ata kama niliwahi kumtongoza, hamadi napigiwa simu niende nikapewe papuchi, kweli wanawake wema bado wapo.
hahahaaa bandariniiii kuna ziara za kushtukiza. Vipelekeni kwa Gwajima.
Umesahau kumalizia kuwa ulipewa na virusi piaNilikua nimekaa siku moja sina hili wa lile, basi kuna bi dada mmoja nilikua nimesahau ata kama niliwahi kumtongoza, hamadi napigiwa simu niende nikapewe papuchi, kweli wanawake wema bado wapo.
Mwaka 2010 Nilimfanyia kazi ya Mageti Jamaa mmoja Mkazi wa Mbeya sehemu moja inaitwa Sayi hakunilipa hela yote kwa sababu ambazo sikuwahi kuzijua kupindi kile maana ilibakia sh.400,000 Nilipiga cm mpaka nikakata tamaa nikafuta namba yake maisha yakaendelea Mwezi ulioisha Nikiwa pale kariakoo Nimepigika na huu Usawa wa Mjomba nilipigiwa Cm namba Ngeni baada yakupokea aliniambia za siku nyingi Fundi nami nikamjibu Nzuri akaniuza uko wapi nikamwambia nipo Ofisini Akasema Ofisini kwako nimepasahau njoo unifuate niko hapa Mtaa wa Narung'ombe nikaenda kusema kweli sikuamini macho yngu Alikua ni yule jamaa Tukaenda mpaka Ofisini Baada ya salaam akaingia mfukoni na kutoa milioni moja kisha akasema "Samahani sana kijana Wngu kipindi kile nilifukuzwa kazi nikayumba kimaisha nisamehe pia Chukua hiki kidogo" Ahsante sana Asulwise mpaka leo siamini kabisa