Kweli wabongo tumetoka mbali!

Mimi sitausahau mchezo wa kula mbakishie baba, mnakusanya mchanga halafu mnachomeka kijiti katikati. Mnaondoa mchanga kidogo kidogo na mtoto ambae kijiti kitaangukia kwake anapigwa hadi aguse mti. Kuna siku nilipigwa kisawa sawa. Halafu kuna kombelera, bibi kajabwela, kidali po, by show i love you baby, miguru baja na michezo mingine. Mmenikumbusha mbali sana.
 
1. Long tym ukidundwa na wenzako unakimbilia kuita mabro wako wakamrudishie au kumkamata mbaya wako nawe umrudishie,,
2.Nakumbuka ugomvi wa mtaa kwa mtaa mara nyingi chanzo mpira au kuchukuliana mademu
3. Nakumbuka tulitawaliwa na michezo zaidi mf. Soka, kuendesha matairi mabovu ya magari au ringi za baiskeli kitumbo wazi shati umelichomeka kwa nyuma kwenye kibukta
4. Sisi wa dar tushakula fimbo sana baada ya kutoroka kwenda kuogelea baharini tulikuwa tunalambwa chumvi, michanga kichwani au chupi zilikuwa zina kamfuko kwa mbele basi laazma mchanga ukutwe humo/no boxers them days
5. Mwalimu mnoko ilikuwa kudundwa a madenti kawaida enzi hizo watu wanamaliza la saba wakubwaaa sio siku hizi
6.Kindumbwedumbwe kila weekend mtaani
7. Kwenda kuangalia tv au movies kwa jirani mwenye nayo tena unakuwa mnyenyekevu kwenye hiyo nyumba.. Na ilikuwa watoto ambao kwao kuna tv wanaogopewa eti watakupa mapigo ya wakali wa muvi wa enzi hizo chuck noris,bruce lee, van dame na wengine
8. Tobo bao bwanaaaa dah
9. Shati la shule kulipiga pasi vyumbavyumba kama kashata kwa mgongoni obviously pasi ya mkaa ilihusika
10. Ukivaa viatu vya DH/ zile njumu za kitambaa shuleni ilikuwa unataniwa hadi ukome.
 
mnakumbuka komborera?...huu mchezo ulikua wakujificha..basi mm wakibutua tu naenda zangu home kukaa..huku nyuma watakamatwa wote sasa kazi kunikamata mimi mtu wa mwisho...walikuawanakomaje?
 
hile movie ya bruce na chuck noris referee paka hahahaa, mtaani kwetu ni nyumba moja tu ndiyo kulikuwa na tv, hili uingie ndani kuona inabidi upige deki ama kuosha vyombo, ama sivyo ni kugombania kwenye vitundu vya madirishani.

1. Long tym ukidundwa na wenzako unakimbilia kuita mabro wako wakamrudishie au kumkamata mbaya wako nawe umrudishie,,
2.Nakumbuka ugomvi wa mtaa kwa mtaa mara nyingi chanzo mpira au kuchukuliana mademu
3. Nakumbuka tulitawaliwa na michezo zaidi mf. Soka, kuendesha matairi mabovu ya magari au ringi za baiskeli kitumbo wazi shati umelichomeka kwa nyuma kwenye kibukta
4. Sisi wa dar tushakula fimbo sana baada ya kutoroka kwenda kuogelea baharini tulikuwa tunalambwa chumvi, michanga kichwani au chupi zilikuwa zina kamfuko kwa mbele basi laazma mchanga ukutwe humo/no boxers them days
5. Mwalimu mnoko ilikuwa kudundwa a madenti kawaida enzi hizo watu wanamaliza la saba wakubwaaa sio siku hizi
6.Kindumbwedumbwe kila weekend mtaani
7. Kwenda kuangalia tv au movies kwa jirani mwenye nayo tena unakuwa mnyenyekevu kwenye hiyo nyumba.. Na ilikuwa watoto ambao kwao kuna tv wanaogopewa eti watakupa mapigo ya wakali wa muvi wa enzi hizo chuck noris,bruce lee, van dame na wengine
8. Tobo bao bwanaaaa dah
9. Shati la shule kulipiga pasi vyumbavyumba kama kashata kwa mgongoni obviously pasi ya mkaa ilihusika
10. Ukivaa viatu vya DH/ zile njumu za kitambaa shuleni ilikuwa unataniwa hadi ukome.
 
Enzi hizo nguo ya xmas unanunuliwa mwezi wa 3,unakuja kupewa tar 25/12,kufuga nywele nyingi na kunyoa bwenzi ndio ilikuwa fasheni,kulikuwa na wataalam wananyoa na mkasi,yaani kulikuwa na raha sana enzi zile.
 
Ulikuwa wakishua wewe au wa end 90's

Mambo ya likizo hayo ukienda ushuani labda kwa aunt au hata ndugu wa mbali mwezi december au june ndo hayo mazagazaga unakutana nayo basi full ndalilo unatamani usiku usiingie!!!mimi uswazi nakumbuka nilikuwa bingwa wa kupiga kichuma au ngoma kubwa katika kula daku enzi za ramadhan!kula kula daku mpemba!!!sometimes nilikuwa naenda kama kinyago full masizi usoni!
 
Mambo ya likizo hayo ukienda ushuani labda kwa aunt au hata ndugu wa mbali mwezi december au june ndo hayo mazagazaga unakutana nayo basi full ndalilo unatamani usiku usiingie!!!mimi uswazi nakumbuka nilikuwa bingwa wa kupiga kichuma au ngoma kubwa katika kula daku enzi za ramadhan!kula kula daku mpemba!!!sometimes nilikuwa naenda kama kinyago full masizi usoni!

usisahau na busha..yaani unachomeka mpira wa makaratasi ndani ya kaptula juu umevaa gunia..nakumbuka tulikimbizana tokea mwembechai mpaka tandale usiku kugombania hela za kula daku...duh!!!!!zamani raha
 
Ukivaaa chupi mpya utahakikisha umekaa vibaya mpka w2 waione, ki2 cha zipu kimeandikwa usione soo, cjui nini.
 
Chupi za zamani tulikua tunaita Taiwani,na pia lazima uvae chachacha au mtambo wa fangasi(lakuchumpa lakupalama) na shati lina chapa ya ndege kwa nyuma laini hivi kama chilimeni haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa classic clothes
 
tabia ya kukatiana barafu enzi izo ni sh 5, barafu 1 mnakatiwa adi watu 10, apo ni ful kula mate.
 
Mnaikumbuka Raizon ngazi mbili, ngazi 3 ?
- Raba mtoni, pia nyumba Radio cassete National memory Q , ilionekana haina maendeleo.
- ikitambulika kijana anafanya kazi RTC au NMC na anataka kuoa basi wasichana mtaa mzima humtaka na anagombaniwa.
- ikifika saa 2 kasorobo usiku mnajikusanya kusikiliza RTD michezo mtangazaji Abdul Masoud (RIP) Taarifa habari Abdul Ngarawa, Jacob Tesha, Sekioni Kitojo. (wakati huo hapakuepo mwanamke mtangazaji aliyethubutu kusoma taarifa ya habari)

Walikuwepo akina Halima Kihemba, Sarah Dumba etc
 
usisahau na busha..yaani unachomeka mpira wa makaratasi ndani ya kaptula juu umevaa gunia..nakumbuka tulikimbizana tokea mwembechai mpaka tandale usiku kugombania hela za kula daku...duh!!!!!zamani raha

Wewe itakua ndio ulikua KINYAGO MSELA!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom