Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
kutoka kulia; Erickb52, akifuatiwa na Mphamvu, halafu nyuma pale yupo BAGAH, akifuatiwa na Preta, akifuatiwa Mamndenyi akiwa amembeba charminglady mgongoni, anayefuata ni Nicas Mtei, kwa mbali kidogo nawaona uncle Bishanga na The secretary wakiongea..... naona wametoka mbali sana hawa!!
mimi ndiye nilipiga picha, kava la kamera nilishikiwa na Kongosho!!!
Jamani kweli mmetoka mbali!!