Kweli Tanzania nitapata mkweli huko?

Kweli Tanzania nitapata mkweli huko?

OK mika kati after 2 years or 3 nikifanikiwa chuo nitakutafuta nakuaminia
 
Last edited by a moderator:
PM ndo wa Canada uyo na kumpata usomjua nayo mtihani mambo ya online mhhhhhhh apo neno
 
olewa na wapopo(wanigeria).......sio lazima uolewe na mtanzania mwenzako......huyo wa kulibeba kama zigo kutoka tanzania wala hamjuani kuna chance akakubadilikia.....mwishoe upate heart attack....
 
Mentor ndo ivo ivo nimalize chuo nije zanzibar au tanzania uko kote kumejaaa wazenj ata bongo muhimu muislam too awe na tabia na hulka za kiislam ila nikimpenda ndo nianze process za kumchukua lakini kunatisha navoskia kila mtu ana wake. KUMEKUCHA UKOOO??? Kweli. Daaa mazali ninasoma sitoshindwa kumleta

Usipate shida mrembo, mbona wanaume wa sifa unazozitaka tupo wengi sana? We ukija chek na mimi tuyamalize, yaani tutaishi popote utakapo na maisha yoyote uyatakayo ilimradi tu tuheshmiane!
 
Last edited by a moderator:
Jamani naombeni ushauri. Mii kaazi wa Admonton Canada sasa nipo chuo ila nimepanga nikimaliza chuo baada ya 2 years nije kwetu kuolewa ni mzenj because hao wa huku nilowaona sijawapenda kitabia. Tabia zao ni zile zile za kufaaa vidani na mie familia yangu nataka iwe ya maadili ya home.nimejitahidi kumkerebisha kijana mmoja alinipenda ila hapendi mtu amwingilie katika maisha yake anasema huku free kila mtu anaishi apendavyo. Kwa vile ni mdogo sana nimeacha na hayo mapenzi nipo 22 sasa napiga kitabu ila suali kweli nikija uko nitapata mchumba mana naskia kila mtu na wake.Naogopa nisije danganywa mie mana maisha yangu ni ya huku ata kama nikiolew nitaishi huku itabidi nimchukue tooo mana wazazi na familia huku.SAMAHANINI KWAupungufu wa kuandika swahili

Wewe,sasa nimegundua inawezekana hata wale wanaosema wameolewa na wazungu Marekani ni fix,canada hakuna admonton kuna EDMONTON,Mimi nilienda monaco-France juzi kati,bt siwezi kusahali jina.Ok karibu naona hata lugha yako mother tongue unahisi umeisahau.......ahhh natania tu bana....
 
Back
Top Bottom