Jamani naombeni ushauri.
Mimi mkazi wa Admonton Canada, sasa nipo chuo ila nimepanga nikimaliza chuo baada ya 2 years nije kwetu kuolewa na Mzanzibari because hao wa huku nilowaona sijawapenda kitabia. Tabia zao ni zile zile za kuvaa vidani na mie familia yangu nataka iwe ya maadili ya home.
Nimejitahidi kumrekebisha kijana mmoja alinipenda ila hapendi mtu amwingilie katika maisha yake, anasema huku free, kila mtu anaishi apendavyo.
Kwa vile ni mdogo sana nimeachana na hayo mapenzi, nipo 22 sasa napiga kitabu. Ila swali ni, ni kweli nikija huko nitapata mchumba? Maana nasikia kila mtu na wake. Naogopa nisije danganywa mie maana maisha yangu ni ya huku hata kama nikiolewa nitaishi huku.
Itabidi nimchukue tu maana wazazi na familia ipo huku. Samahanini kwa upungufu wa kuandika Kiswahili.
Mimi mkazi wa Admonton Canada, sasa nipo chuo ila nimepanga nikimaliza chuo baada ya 2 years nije kwetu kuolewa na Mzanzibari because hao wa huku nilowaona sijawapenda kitabia. Tabia zao ni zile zile za kuvaa vidani na mie familia yangu nataka iwe ya maadili ya home.
Nimejitahidi kumrekebisha kijana mmoja alinipenda ila hapendi mtu amwingilie katika maisha yake, anasema huku free, kila mtu anaishi apendavyo.
Kwa vile ni mdogo sana nimeachana na hayo mapenzi, nipo 22 sasa napiga kitabu. Ila swali ni, ni kweli nikija huko nitapata mchumba? Maana nasikia kila mtu na wake. Naogopa nisije danganywa mie maana maisha yangu ni ya huku hata kama nikiolewa nitaishi huku.
Itabidi nimchukue tu maana wazazi na familia ipo huku. Samahanini kwa upungufu wa kuandika Kiswahili.