ushungi wa zanzibar
Member
- Jun 29, 2015
- 96
- 29
Inasikitisha sana, tunakua wa kudandia mambo na kuacha sijui viongozi wetu akiwemo Raisi wamechukuliwa misukule ama vipi, walianza na KATIBA MPYA, hawakumaliza wakaja VITAMBULISHO VYA URAIA hawakumaliza wakaja BVR, sijui hili wanaweza kuliacha warukie lipi!