Kweli Tanzania aliyetuloga kafariki

Kweli Tanzania aliyetuloga kafariki

Joined
Jun 29, 2015
Posts
96
Reaction score
29
Inasikitisha sana, tunakua wa kudandia mambo na kuacha sijui viongozi wetu akiwemo Raisi wamechukuliwa misukule ama vipi, walianza na KATIBA MPYA, hawakumaliza wakaja VITAMBULISHO VYA URAIA hawakumaliza wakaja BVR, sijui hili wanaweza kuliacha warukie lipi!
 
jamani naomba tusaidiane nini kinafuata baada ya bvr. naona walianza na katiba mpya mara vitambulisho mara hii bvr. na yote huwa YANAISHIA NJIANI. sasa lipi linafuata????????
 
Baada ya bvr ni uundaji wa baraza jipya la mawaziri ya serikali ya awamu ya tano..
 
"Jamani Serikali yenu sikivu inayafanyia kazi hayo yote, tuweni watulivu"-VIONGOZI
 
TANZANIA Kama Ingekua Gari Mimi Binafsi Ningeshuka Nikaacha Liende.
 
Under Jakaya,the country lost ten valuable years! ! He deserves to be impeached for what he has done to the country.
 
Inasikitisha sana, tunakua wa kudandia mambo na kuacha sijui viongozi wetu akiwemo Raisi wamechukuliwa misukule ama vipi, walianza na KATIBA MPYA, hawakumaliza wakaja VITAMBULISHO VYA URAIA hawakumaliza wakaja BVR, sijui hili wanaweza kuliacha warukie lipi!

Umesahau na vazi la Taifa hawakumaliza.
 
KILIMO KWANZA sijui ndo kimefanikiwa au?
 
Hakikisha unajiandikisha na kura unapiga.
 
Back
Top Bottom