Tankthinker
Member
- May 1, 2011
- 58
- 9
KWELI TAKUKURU WANA LAO JAMBO!!!.
Ndugu wana JF,
Nilivutiwa sana na mada ilitumwa siku chache zilizopita iliyohusu "TAKUKURU WASHINDWA KUWACHUNGUZA MAFISADI, SASA WAGEUKIA MAASKOFU".
Hata nikaamua kuchukua hatua ya kujitafutia mwenyewe sheria inayowapa kazi wana TAKUKURU - THE PREVENTION AND COMBATING OF CORRUPTION ACT, 2007 iliyopitishwa na Bunge letu tarehe 16 April 2007.
Nilipokuwa nikiendelea kusoma kuhusu majukumu ya sheria na kulinganisha hiyo assigmemnt wanayoifuatilia kwa Maaskofu, inaonyesha kuwa wanafanya kazi wasiyopewa na Bunge letu, au hawaielewi sheria waliyopewa au wanatumikia kusudi na mtu fulani kwa maslahi binafsi.
Kwa mfano sheria inasema hivi, na hapa nitanukuu katika lugha ya Kiingereza kuhusu makusudi ya sheria hiyo (Objective of the Act) Ukurasa wa 218.
4.-(1) The objective of this act is to provide for promotion and enhancement of good governance and eradication of corruption.
(2) In the promotion of the objectives reffered to under subsection (1), this Act provides an institutional and legal framework necessary for prevention and combating corruption by-
(a) examining and advising on practices and procedures of public,and parastatal
and private organisation, in order to facilitate the detection of corruption or
prevent corruption.
(b) disseminating information to the public on evils and effects of corruption and
corrupt practices as well as negative traditions and usage.
(c) cooperating and collaborating with local and international institutions,
agencies or organisations in the fight against corruption.
(d) promote and foster public support and combating corruption; and
(e) investigate and prosecute offences relating to corruption.
Kwa mtazamo wa haraka unagundua kuwa jukumu lao kubwa ni kinga dhidi ya rushwa kwa mujibu wa fungu hili hapo juu. Ninaanza kuwa na kigugumizi na mashaka na hizi mbio za kuwageukia viongozi wa dini.
Leo Maaskofu, kesho Mashehe ili mradi tu wafanikishe azma yao ya kuwanyamazisha ili jamii isipate elimu wanayostahili. Nami nasema, viongozi wa dini msitishwe na hawa vibaraka walioacha majukumu yao kufuata maslahi binafsi.
Hivi kweli kipindi hiki ni cha kusikia TAKUKURU wanawachunguza viongozi wa dini? Hivi hawasikii vilio vya Watanzania walio wengi kwa sasa kuhusiana na ufisadi uliokithiri katika nchi?
These people are not keen and serious on what has been entrusted to them.
KWELI TAKUKURU WANA LAO JAMBO.
Ndugu wana JF,
Nilivutiwa sana na mada ilitumwa siku chache zilizopita iliyohusu "TAKUKURU WASHINDWA KUWACHUNGUZA MAFISADI, SASA WAGEUKIA MAASKOFU".
Hata nikaamua kuchukua hatua ya kujitafutia mwenyewe sheria inayowapa kazi wana TAKUKURU - THE PREVENTION AND COMBATING OF CORRUPTION ACT, 2007 iliyopitishwa na Bunge letu tarehe 16 April 2007.
Nilipokuwa nikiendelea kusoma kuhusu majukumu ya sheria na kulinganisha hiyo assigmemnt wanayoifuatilia kwa Maaskofu, inaonyesha kuwa wanafanya kazi wasiyopewa na Bunge letu, au hawaielewi sheria waliyopewa au wanatumikia kusudi na mtu fulani kwa maslahi binafsi.
Kwa mfano sheria inasema hivi, na hapa nitanukuu katika lugha ya Kiingereza kuhusu makusudi ya sheria hiyo (Objective of the Act) Ukurasa wa 218.
4.-(1) The objective of this act is to provide for promotion and enhancement of good governance and eradication of corruption.
(2) In the promotion of the objectives reffered to under subsection (1), this Act provides an institutional and legal framework necessary for prevention and combating corruption by-
(a) examining and advising on practices and procedures of public,and parastatal
and private organisation, in order to facilitate the detection of corruption or
prevent corruption.
(b) disseminating information to the public on evils and effects of corruption and
corrupt practices as well as negative traditions and usage.
(c) cooperating and collaborating with local and international institutions,
agencies or organisations in the fight against corruption.
(d) promote and foster public support and combating corruption; and
(e) investigate and prosecute offences relating to corruption.
Kwa mtazamo wa haraka unagundua kuwa jukumu lao kubwa ni kinga dhidi ya rushwa kwa mujibu wa fungu hili hapo juu. Ninaanza kuwa na kigugumizi na mashaka na hizi mbio za kuwageukia viongozi wa dini.
Leo Maaskofu, kesho Mashehe ili mradi tu wafanikishe azma yao ya kuwanyamazisha ili jamii isipate elimu wanayostahili. Nami nasema, viongozi wa dini msitishwe na hawa vibaraka walioacha majukumu yao kufuata maslahi binafsi.
Hivi kweli kipindi hiki ni cha kusikia TAKUKURU wanawachunguza viongozi wa dini? Hivi hawasikii vilio vya Watanzania walio wengi kwa sasa kuhusiana na ufisadi uliokithiri katika nchi?
These people are not keen and serious on what has been entrusted to them.
KWELI TAKUKURU WANA LAO JAMBO.