Pole sana. Tena mshukuru mungu wako uko salama. Hilo liwe fundisho na kwa wengine.
Hivi nani aliwaambia humu ni sehemu ya kutafuta mabibi au mabwana???? Kwa kukukudokeza tu, kuna majini pia humu. Take care
nilichofanyiwa mimi sitasahau. niliingia humu jf sasa yapata miez 4 nikapata demu humu jf tumewasilia kwa muda akasema anaishi dar akaniomba nimtembelee nimeenda dar kumbe ana mume nusu wanibikiri naomba wadada muache hyo mambo
Mhh pole ndugu c ungeenda facebook??
wewe upo upande upi?Pole sana. Tena mshukuru mungu wako uko salama. Hilo liwe fundisho na kwa wengine.
Hivi nani aliwaambia humu ni sehemu ya kutafuta mabibi au mabwana???? Kwa kukukudokeza tu, kuna majini pia humu. Take care
nilichofanyiwa mimi sitasahau. niliingia humu jf sasa yapata miez 4 nikapata demu humu jf tumewasilia kwa muda akasema anaishi dar akaniomba nimtembelee nimeenda dar kumbe ana mume nusu wanibikiri naomba wadada muache hyo mambo
Labda alipitia LOVE CONNECT!. Kama madai haya yana ukwel basi tuwaombe Admn walifunge hilo jukwaaPole sana. Tena mshukuru mungu wako uko salama. Hilo liwe fundisho na kwa wengine.
Hivi nani aliwaambia humu ni sehemu ya kutafuta mabibi au mabwana???? Kwa kukukudokeza tu, kuna majini pia humu. Take care
Mbona hijaeleweka hapo kwenye red? Ina maana na wanaume wanabikiriwa? Anyway kuwa muangalifu, sio kazi ndogo kupata soulmate kwenye Social Network, unless umezichanga karata zako vizurinilichofanyiwa mimi sitasahau. niliingia humu jf sasa yapata miez 4 nikapata demu humu jf tumewasilia kwa muda akasema anaishi dar akaniomba nimtembelee nimeenda dar kumbe ana mume nusu wanibikiri naomba wadada muache hyo mambo
nilichofanyiwa mimi sitasahau. niliingia humu jf sasa yapata miez 4 nikapata demu humu jf tumewasilia kwa muda akasema anaishi dar akaniomba nimtembelee nimeenda dar kumbe ana mume nusu wanibikiri naomba wadada muache hyo mambo