jamani wana jf ,nisaidieni mwaka jana tulivunjiwa vibanda vyetu huku maeneo ya tegeta wazo (nakalekwa) hakukuwa na taarifa yeyote juu ya uvunjwaji huo .walikuja watu wa msalaba mwekundu kutusaidia ,mwaka huu wanatuambia tuendeleze vile viwanja ,jamani nashindwa kuelewa hivi hii sheria ya ardhi imekaa vizuri kweli jamani au ndio ubabaishaji ?