Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,620
- 21,161
Mwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa.
Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu
Binafsi sitegemei kumwambia nampenda ila ndio nateseka sana nataman hata nisiwe na urafiki nae maana namuonea wivu mpaka anajua....Sijui nifanyeje wapendwa
Wababaishaji wa umu vigezo vingi sanaAisee umepatikana kwa kweli. Lakini kwa nini umejitesa muda wote huo, kuwa single wakati kila siku wakaka humu wanatafuta wanawake tena wa kuwaoa?? au mwenzetu muda badoo??
Najikojoza mwenyewe kwa wiki Mara mbili(selfie) so kwa hilo halinisumbuiMiaka miwili? Umejitahidi sana na upo hatarini. Kuna study moja imegundua kwamba kama haukojozwi angalau mara 21 kwa mwezi, upo kwenye hatari kubwa ya kupata cancer ya kizazi huko mbeleni.
Be warned!
Mmmm si kweli so uume ndio dawaMiaka miwili? Umejitahidi sana na upo hatarini. Kuna study moja imegundua kwamba kama haukojozwi angalau mara 21 kwa mwezi, upo kwenye hatari kubwa ya kupata cancer ya kizazi huko mbeleni.
Be warned!
lady in action hebu jaribu kunitongoza mimi hakika hutajutia uamuzi wakoMwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa.
Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu
Nahisi shetan ananinyemelea kabisa....kuna mkaka tulikua tunafanya kaz ofci moja baadae Mimi nikahama ila tunaonana Mara kwa Mara...jmn nimetokea kumpenda sana yaan Sijui nini kimenikuta
Muda mwingi nakuta namfikiria tu....ninamazoea nae kama rafiki so hua tunachart mambo ya maisha tu na kushauriana ....ikipita hata siku hajanitext moyo unaniuma sana yaan mpaka nakosa raha
Jamaa ni mtu mwenye msimamo mpaka unapenda....hapendi mazoea na wadada ovyo....ni mkimya sana kwanza kuongea nae tu ujipange bt Mimi nimetokea tu tukawa marafiki
Binafsi sitegemei kumwambia nampenda ila ndio nateseka sana nataman hata nisiwe na urafiki nae maana namuonea wivu mpaka anajua....Sijui nifanyeje wapendwa
OK nakutongoza sasa....anza kula kucha na kuangalia chini...unajua wewe ni mrembo sana...umeumbika...unashep kama ya masogangelady in action hebu jaribu kunitongoza mimi hakika hutajutia uamuzi wako
Hatumii kilevi...hapendi kujichanganya yaan kwanza Sijui social network anaweza maliza hata miez 6 hajaingia hata whatsap na smart anayo....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uzee hauko mbaliNimekudanganya wapi? mi nilikwambia umpigie? ITS OK inawezekana huna viwango vyake kabisa ndo maana anakuchukulia poa kihivyo, subiri tu utapata wa viwango vyako. Kama umemshindwa huyo kutokana na maelezo yako jinsi alivyo, wewe subiri kupatwa tu maana hutapata utakayemtaka wewe, kuwa teyari kuchukuliwa na yeyote hata kama hujampenda kiviile, mradi tu yeye akupende, maana uzee nao ndo huooooo waja.
Angefata huu ushauri...bahati mbaya hashaurikiUsithubutu kumtamkia au kumtongoza mwanaume yeyote hapa duniani bidada utajutraa..
Nimeona ndugu jamaa na marafiki kilichowakuta kwa upuuzi huo..ni mwendo wa vilio hadi nawaonea huruma mweeh!
Usithubutuu....
Utakazwa bila kuambiwa unapendwa....Mwenzenu nimepatikana Sijui natokaje hapa.
Baada ya kua single takriban miaka 2 baada ya kutendwa uko nikaamua nijikalie zangu single tu
Nahisi shetan ananinyemelea kabisa....kuna mkaka tulikua tunafanya kaz ofci moja baadae Mimi nikahama ila tunaonana Mara kwa Mara...jmn nimetokea kumpenda sana yaan Sijui nini kimenikuta
Muda mwingi nakuta namfikiria tu....ninamazoea nae kama rafiki so hua tunachart mambo ya maisha tu na kushauriana ....ikipita hata siku hajanitext moyo unaniuma sana yaan mpaka nakosa raha
Jamaa ni mtu mwenye msimamo mpaka unapenda....hapendi mazoea na wadada ovyo....ni mkimya sana kwanza kuongea nae tu ujipange bt Mimi nimetokea tu tukawa marafiki
Binafsi sitegemei kumwambia nampenda ila ndio nateseka sana nataman hata nisiwe na urafiki nae maana namuonea wivu mpaka anajua....Sijui nifanyeje wapendwa
Kilio Kiko pale pale hata jamaa mwenyewe akianza kumtamkia.Usithubutu kumtamkia au kumtongoza mwanaume yeyote hapa duniani bidada utajutraa..
Nimeona ndugu jamaa na marafiki kilichowakuta kwa upuuzi huo..ni mwendo wa vilio hadi nawaonea huruma mweeh!
Usithubutuu....