Kweli nimeamini wanawake mwalimu wao ni marehemu

Kweli nimeamini wanawake mwalimu wao ni marehemu

Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

Duuuuuhhhh Aiseeeee
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

Dah! Asprin huyo! .... Mkuu umetoka milembe au?
 
Last edited by a moderator:
Kumtukana Mt.Mungu Ni Kumtukana Mungu. Ww Mwenyewe Unajua Mm Cjawah Kupost Wala Kucomment Kitu Nje Na Maadili Ya Kimungu. Mada Nyng Naziona Lkn Huwa Napita Tu Kutokana Na Nafasi Yangu, Sio Kwamba Cwez

Post yako pia umemtukana Mungu.
 
Wanawake ni watu wazuri sana kama wanapata kitu roho inataka. Ukiona mwanamke anasusa kukupikia, hakuheshimu anakutukana hovyo na kukurushia mangumi...ujue kuna kitu humfanyii. Most likely kuna udhaifu kwenye maswala ya unyumba. Mwanamke asiye ridhishwa kiunyumba ni hatari kuliko hata simba.
 
Yaan Umeingia Chumbani Kwa Wazazi Wako, Nakupa Cku3 Utapotelewa Na Vitu Vya Thamani, Na Utaugua Ugonjwa, Haunijui unadhani ninavyosema ni mchungaji ni utani eeee!!! Kwa Kuwa Umemtukana Mungu Ktk Jina La Yesu Kristo, Nimeomba yakupate hayo. na mungu anaethiaitisha neno la mtumishi wake na akuthibitishie

mende anaangusha kabati hapa
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

Mhhh!!!
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

Hukupaswa kutukana hivi.
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

😀😀😀😀 hii account imekuwa hacked siamini
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

Calm down dude, try to understand the world!
 
jaman nilikuwa nampa mshahara wote anapanga yeye, lkn alikuwa akikasirika hapiki cku3,4 hadi 5 na hela nimempa. alikuwa wakati mwingne hadi ananipiga lkn mm simrudishii, alinionea sn kwa sbb ya wokovu wangu. sasa akalewa si akajua wanaume wote wapo hivyo!! cku akadanganywa na jamaa kuwa hana mke wakati ana famlya akaondoka nymbn akapangiwa chumba. lakini cha ajabu toka amepangiwa chumba jamaa hajawahi kulala hapo maana ana mke. lkn yeye hajiulizi aaaah. leo anajuta amekuwa kama "kifuu cha nazi" na mm nimemwambia "siwezi kushona tambala la kupigia deki"; amekwisha olewa mara2 ameshindwa na anashindwa kuniingia anaogopa WOKOVU WANGU

Tazama upya tafsiri yako ya wokovu, may be its not compatible with this world! Hongera kwa kumtambua Mungu mwenye mamlaka juu ya mbingu na nchi!
 
Kumtukana Mt.Mungu Ni Kumtukana Mungu. Ww Mwenyewe Unajua Mm Cjawah Kupost Wala Kucomment Kitu Nje Na Maadili Ya Kimungu. Mada Nyng Naziona Lkn Huwa Napita Tu Kutokana Na Nafasi Yangu, Sio Kwamba Cwez

ahaaaaaaaaaaa sina mbavu eti saa nyingine alikuwa anakupiga????
 
Yaan Umeingia Chumbani Kwa Wazazi Wako, Nakupa Cku3 Utapotelewa Na Vitu Vya Thamani, Na Utaugua Ugonjwa, Haunijui unadhani ninavyosema ni mchungaji ni utani eeee!!! Kwa Kuwa Umemtukana Mungu Ktk Jina La Yesu Kristo, Nimeomba yakupate hayo. na mungu anaethiaitisha neno la mtumishi wake na akuthibitishie

Mkuu Ilovo kama wewe ni mchungaji kwa nini usimfanyie maombi ili Mungu amasamehe na kumbadilisha ili baadae ujivunie kumbadilisha. Maana ukimuombea apate adhabu kali ya ugonjwa usio tambulikana ina maana hatatibiwa hadi afe. Wewe ni mchunga kondoo huwezi ombea kondoo wako mabaya hata kama amekosea nia yako ni kumbadilisha ili atende mema
 
Ungesema mwalimu wa mkeo ni marehemu pengine ungekuwa sahihi. Lakini kujumuisha wanawake wote tanzania na dunia nzima kuwa mwalimu wao ni marehemu sio sahihi na ni kuwadhalilisha na kutowatendea haki. Kuna wanawake wengi hapa duniani ni watu wazuri, wema, wakarimu, wana upendo, busara, wanyenyekevu,wametulia na hawana ugomvi. Inashangaza Kosa la mkeo unaligeuza kuwa kosa la kila mwanamke hapa duniani. Hii sio kweli kabisa. Nafikiri kama mtumishi Mungu inabidi ujipime kama kweli post yako ipo sahihi. Na pengine ili kuonyesha busara na hekima uliyopewa na Mungu itapendeza ukiwaomba msamaha wanawake.
 
Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......


Ohhhhh! Mungu wangu, kwani ameandika wanawake ni marehemu? aiseee
 
Illovo

Wanawake wote marehemu???? Hivi wewe maiti ulijuaje???

Pumzika kwa amani we nyamafu uliyekufa kibudu.

Shenzy zako na robo. Marehemu ni mama yako, bibi yako, shangazi yako na michepuko yako.

Mungu aendelee kuwabariki wanawake ambao si nduguzo.

Keimamae zako tena na tena. Maiti wewe......

hehehehehe unahasira sana aisee mana ulivoyaporomosha...
 
Ungesema mwalimu wa mkeo ni marehemu pengine ungekuwa sahihi. Lakini kujumuisha wanawake wote tanzania na dunia nzima kuwa mwalimu wao ni marehemu sio sahihi na ni kuwadhalilisha na kutowatendea haki. Kuna wanawake wengi hapa duniani ni watu wazuri, wema, wakarimu, wana upendo, busara, wanyenyekevu,wametulia na hawana ugomvi. Inashangaza Kosa la mkeo unaligeuza kuwa kosa la kila mwanamke hapa duniani. Hii sio kweli kabisa. Nafikiri kama mtumishi Mungu inabidi ujipime kama kweli post yako ipo sahihi. Na pengine ili kuonyesha busara na hekima uliyopewa na Mungu itapendeza ukiwaomba msamaha wanawake.

Asante mkuu nadhani Illovo ameelewa sasa
 
Back
Top Bottom