Kweli nimeamini wanawake mwalimu wao ni marehemu

Kweli nimeamini wanawake mwalimu wao ni marehemu

Afu weweeeee

Kibabu chako kikanipiga bit,lol ikabidi nikaw kando...Arusha one na yule aliyekuwa anawabadilisha kama baraza la mawaziri la KeyJey siku hizi wamefuria.....Soon nitakutafuta tena sasa hivi hakana nguvu....
 
Hapana Mwanzoni Alikuwa Safi, Sema Alilewa Na Ule Wema Na Upole Niliomwonyeshea, kwa iyo hajanipanda kichwani alivyotaka mungu akamtoa kwa njia iyo

Kwa hiyo ukiwa mlokole ndo uwe mwanaume lege lege! Mwanamke anahitaji mwanaume mwenye udhibiti siyo ambaye yupo kama shoka zake.
 
Na huyo mwalimu marehemu ni wewe mtoa mada wengine mwalimu wetu yuko hai anadunda vizuri
 
Hivi kwa nini mkishafilisika au mkiwa hamna pesa ndiyo mnasema mmeokoka. Siyo kama umeokaka bali ni ujinga uliyokuwa nao.
 
Teh teh teh teh! Ngoja tu nicheke
 
Jamani nilikuwa nampa mshahara wote anapanga yeye, lakini alikuwa akikasirika hapiki cku3,4 hadi 5 na hela nimempa. alikuwa wakati mwingne hadi ananipiga lkn mm simrudishii, alinionea sana kwa sababu ya wokovu wangu.

Sasa akalewa si akajua wanaume wote wapo hivyo siku akadanganywa na jamaa kuwa hana mke wakati ana famlia akaondoka nyumbani akapangiwa chumba.

Lakini cha ajabu toka amepangiwa chumba jamaa hajawahi kulala hapo maana ana mke. lakini yeye hajiulizi aaaah. leo anajuta amekuwa kama "kifuu cha nazi" na mimi nimemwambia "siwezi kushona tambala la kupigia deki"; amekwisha olewa mara 2 ameshindwa na anashindwa kuniingia anaogopa Wokovu wangu.

So ndoto yako umeilewaje?
 
jamani nilikuwa nampa mshahara wote anapanga yeye, lakini alikuwa akikasirika hapiki cku3,4 hadi 5 na hela nimempa. Alikuwa wakati mwingne hadi ananipiga lkn mm simrudishii, alinionea sana kwa sababu ya wokovu wangu.

Sasa akalewa si akajua wanaume wote wapo hivyo siku akadanganywa na jamaa kuwa hana mke wakati ana famlia akaondoka nyumbani akapangiwa chumba.

Lakini cha ajabu toka amepangiwa chumba jamaa hajawahi kulala hapo maana ana mke. Lakini yeye hajiulizi aaaah. Leo anajuta amekuwa kama "kifuu cha nazi" na mimi nimemwambia "siwezi kushona tambala la kupigia deki"; amekwisha olewa mara 2 ameshindwa na anashindwa kuniingia anaogopa wokovu wangu.

mwanamke ulompata ndio mwalim wake marehemu lakini mimi na mama yako tunaakili nzuri tu
 
ha ha haaaaaa!!! pole yako. unaleta ulokole hadi mda wa ppch
 
Jamani nilikuwa nampa mshahara wote anapanga yeye, lakini alikuwa akikasirika hapiki cku3,4 hadi 5 na hela nimempa. alikuwa wakati mwingne hadi ananipiga lkn mm simrudishii, alinionea sana kwa sababu ya wokovu wangu.

Sasa akalewa si akajua wanaume wote wapo hivyo siku akadanganywa na jamaa kuwa hana mke wakati ana famlia akaondoka nyumbani akapangiwa chumba.

Lakini cha ajabu toka amepangiwa chumba jamaa hajawahi kulala hapo maana ana mke. lakini yeye hajiulizi aaaah. leo anajuta amekuwa kama "kifuu cha nazi" na mimi nimemwambia "siwezi kushona tambala la kupigia deki"; amekwisha olewa mara 2 ameshindwa na anashindwa kuniingia anaogopa Wokovu wangu.

wokovu? anaogopa wokovu wako? wokovu na uasherati wapi na wapi? si ulikuwa unaishi naye kinyumba? labda useme alikuwa mkeo haswa! na kama alikuwa mkeo na huhitaji kumrudia sababu ya uzunzi wake, fine. Ila hutakiwi kuoa tena coz utakuwa unafanya uzinzi, ubaki hivyo hivyo. Na kama hakuwa mkeo....acha unafiki wa kujiita uko ndani ya wokovu while unaweka wanawake kinyumba, fanya toba....anza maombi....maombi ya kumwomba Mungu akuelekeza ktk njia itakayokukutanisha na mke bora....utafanikiwa
 
Nimekwisha Msamehe Na Mungu Amemsamehe Pia, Kwani Kusamehe Ni Mkweli Na Muwazi Kumwambia Alichofanya. Lkn Itambulike Kuwa Kumtus Mt.Wa Mungu Ni Hatari Hasa Usiye Mjua,maana Hujui Ni Wa Kweli Au La?? Hii Ndo Ilimponza Miriam Na Haruni Kupigwa Ukoma Pale Walipomtusi Musa

ni kweli, kwa hali hiyo na wewe UTUBU! coz katika wanawake uliotutukana wapo WATUMISHI WA MUNGU wakubwa na wenye huduma kubwa wakigusa maisha ya wengi kuliko wewe. mf. Joyce Mayer na wengineo wengi! kwa wakatoliki wapo masister...kwa kuwa umetusi wanawake kwa ujumla wao...hata hao umewatusi! yaan umemtusi hadi mama yake Yesu...don't u think unahitaji kutubu pia????? coz kwa tafsiri yako, kumtusi mtumishi wa Mungu...ni kumtusi Mungu! mkuu, umemtusi Mungu pia
 
Ni Kweli Mkuu, Huu c msemo tu sawa na ule "wanawake mwalimu wao kipofu"?????

umesema umeokoka...then hutakiwi kufatisha namna ya dunia hii! hiyo misemo waachie wenyewe. Bila shaka unafahamu nguvu ya ukiri! kama wewe unakiri kuwa wanawake wote mwalimu wao marehemu au kipofu...utakuwa unapata wanawake wa hovyo kila siku, coz ndo unavyokiri na ndo kilichoujaza moyo wako. Unampa shetani nafasi kwa ukiri wako! badilika
 
umesema umeokoka...then hutakiwi kufatisha namna ya dunia hii! hiyo misemo waachie wenyewe. Bila shaka unafahamu nguvu ya ukiri! kama wewe unakiri kuwa wanawake wote mwalimu wao marehemu au kipofu...utakuwa unapata wanawake wa hovyo kila siku, coz ndo unavyokiri na ndo kilichoujaza moyo wako. Unampa shetani nafasi kwa ukiri wako! badilika

Mwanamke Anaefanya Mambo Yasyofaa Ktk Jamii Basi Huyo Mwl Wake Atakuwa Marehemu
 
Umeokoka lkn kanisani kwenu hakuna muumini anakujua,hakuna anayekuheshimu,hukai viti mbele. Huku uraiani wamekuchapia mpaka wakambeba! Kwa nn usimuombe Mungu akuchukue ili akuepushe na hayo mateso!!? Huna raha kabisa hapa Duniani.
 
Jamani nilikuwa nampa mshahara wote anapanga yeye, lakini alikuwa akikasirika hapiki cku3,4 hadi 5 na hela nimempa. alikuwa wakati mwingne hadi ananipiga lkn mm simrudishii, alinionea sana kwa sababu ya wokovu wangu.

Sasa akalewa si akajua wanaume wote wapo hivyo siku akadanganywa na jamaa kuwa hana mke wakati ana famlia akaondoka nyumbani akapangiwa chumba.

Lakini cha ajabu toka amepangiwa chumba jamaa hajawahi kulala hapo maana ana mke. lakini yeye hajiulizi aaaah. leo anajuta amekuwa kama "kifuu cha nazi" na mimi nimemwambia "siwezi kushona tambala la kupigia deki"; amekwisha olewa mara 2 ameshindwa na anashindwa kuniingia anaogopa Wokovu wangu.
wewe utakuwa ndiye Baba Solomonii
 
Jamani nilikuwa nampa mshahara wote anapanga yeye, lakini alikuwa akikasirika hapiki cku3,4 hadi 5 na hela nimempa. alikuwa wakati mwingne hadi ananipiga lkn mm simrudishii, alinionea sana kwa sababu ya wokovu wangu.

Sasa akalewa si akajua wanaume wote wapo hivyo siku akadanganywa na jamaa kuwa hana mke wakati ana famlia akaondoka nyumbani akapangiwa chumba.

Lakini cha ajabu toka amepangiwa chumba jamaa hajawahi kulala hapo maana ana mke. lakini yeye hajiulizi aaaah. leo anajuta amekuwa kama "kifuu cha nazi" na mimi nimemwambia "siwezi kushona tambala la kupigia deki"; amekwisha olewa mara 2 ameshindwa na anashindwa kuniingia anaogopa Wokovu wangu.

Kama kweli wewe ni mchungaji tutajie kanisa lako unalochunga liko wapi na linaitwaje na wewe kwa jina lako halisi ni nani?

Vinginevyo kujificha ficha humu kama mtu muovu unamficha nani?
 
Back
Top Bottom