KakaKiiza
Platinum Member
- Feb 16, 2010
- 11,945
- 9,458
Mkuu Ilovo kama wewe ni mchungaji kwa nini usimfanyie maombi ili Mungu amasamehe na kumbadilisha ili baadae ujivunie kumbadilisha. Maana ukimuombea apate adhabu kali ya ugonjwa usio tambulikana ina maana hatatibiwa hadi afe. Wewe ni mchunga kondoo huwezi ombea kondoo wako mabaya hata kama amekosea nia yako ni kumbadilisha ili atende mema
Madame B katika ubor wake....
Inashangaza sana unajinasibu na kujiita Umeokoa na kujifanya mtu wa Mungu yaani wewe ni Mcha Mungu,
Ulikuwa unazini na huyo Mwanamke kisha unajidai kumwita mkeo wakati hujamuoa, Mcha mungu gani Mzinifu.
Mwokovu wamekugegedea...pole msamehe tu hata Yesu aliwasamehe waliomsulubu
tatzo lako ni mfuasi wa K.Ngombalimwilu, Ndio Maana Hauelewi, Uwe Unauliza