Kweli nimeamini mwanamke si Mwenzio

Ni vile tuu hunijui madam thatswhy unasema hivyoo namheshim msichana nae kua naw na najitaidi kumfanya afurahi kwa uwezo wangu mdogo sasa kama utataka nikupe ambachosina hapoo ndipo huwa tunashindana

Sawa mkuu nimekuelewa.
 
tena kaumia haswaaaa!!! na ndivyo walivyo, mwanamke akifanya maendeleo tu wanakimbilia kufikiria 'kahongwa' huko ni kujifariji tu, nawe si ungemhonga basi km kuhonga rahisi hivyo!

Hahahahaha mbona mnatetea sana imewagusa nini hahahaha
 
Wanawake wa bongo ukiwaona kwenye instagram wanavyoshindana kuonyesha wanaisgi maisha ya juu utasema wana makabati ya hela nyumbani
 
Sawa mkuu nimekuelewa.

Sawa madam mnahaki ya kutetea kwa nguvu zote kwakua hamnijui na hammujui huyu dada na life style yake na yangu pia so lazima muone kama namuonea wivuuuu na sipendi afanikiwee but jambo usilolijua ni kama usiku wa giza nadhan huyoo aliyenae atamsaidia sana
 
Wanawake wa bongo ukiwaona kwenye instagram wanavyoshindana kuonyesha wanaisgi maisha ya juu utasema wana makabati ya hela nyumbani

Hii ni moja ya sababu inayofanya sisi ambao kipato ni chini milioni kwa mwez watukimbie kaka hahahahaha hatar sana
 
Sitaki kukujaji kwmb ww ni mtu wa aina gani, ila kama una tabia ya kuachana na gf wako kwa bifu najua utakuwa umeumia. Binafsi, sinaga bifu na ex wngu, na tukikutana tunapiga story kma kawa japo hatugegedani. Ex wng fulani, tena latest kabla sijaoa, sasa hv yupo UN na aliambiwa akaishi France au Marekani, bt sina wivu nae hata kdg na tukikutana ni washkaji balaa. Napata ukakasi kuamini kwamba huna wivu nae, na sidhani kma unapenda kumuona yeye ana gari. Kma mngekuwa bado story zinapanda kimtindo, ungejua vingi bila hta kuambiwa na rafiki yake. Yawezekana rafiki yake nae alitamani kuwa na huyo mzee ila ameshindwa kufunguka tu.


Sent from my iPad using JamiiForums app
 

Wewe tafuta hela uheshimike... :-( ulimuacha vile alikua masikini na ombaomba halaf bado unafuatilia maisha yake kupitia rafiki zake..... unaonesha uliamini watakuja kukupigia magoti uendelee kutoa vimisaada !
Roho ya kwann na ndo maana imekuuma mpk umefungua uzi!
 
kuzaliwa tu wa kike ni utajiri tayari...ha ha ha
sipati picha roho inavokutoka ulitamani kumuona kachoka baada ya kuachana, pole!!!
 
Ulitamani wewe ndio uwe na gar halafu yeye hana. Imekula kwako sasa yy ndio analo. Jipange




mullax umeongea. alijua atakufa masikini.
nikupe mfano hai limoja liliniruka na mtoto likaniachia mimi kuepuka mawazo nkawa nafanya kazi 2 .
1. kumnyonyesha mtoto
2. kusaka hela mda wote ili kuwa busy nsiwaze sana. baada ya mda wa kuwa busy akafutika automatically moyoni nkajikuta nna akiba kama ya m13. nkaanza kuweka kibanda changu cha room 3 na sebule sahivi kimeisha, bado sahivi najisomesha chuo kwa mara nyingine
povu linamtoka huko mitaani kazi kutangaza mi ntakuwa nna wanaume. hajui akili yangu na mikono ndo buzi langu.
 
Kuna thread ilikuwa inasema........unaweza kuwa na mtu ukaandamwa na mikosi.......au bahati.........haya sasa........ndio hiyoooo..............

hyo ni kweli mambo ya nyota hayo.... Kuna baadh ya wanawake ukiwa naye tu yaan kila siku lazma uingize hela tena nzuri lakn wapo hao loh! Kila siku kushinda polis makosa hayaishi ww ni kupoteza hela tu
 
Duuuu! Diiiiiiiiiiii!!
Pole kidume. Si umeona jins wadada wanavokuja kwa wingi kweny mada yako kukuponda.....ati wanasema kama vp na ww olewa...unaonaje?

Ishi kidemocrasia na mwwnamke....mpende kirrooh xafi....kama imebidi muachane basi kuwa muelewa.....Ukimuacha basi sahau b'coz yuko mwengne anakula apo...ndo kuheshimiana

Tatzo ni kuwa ww umemuacha kwa hasira zako....ukijua yy ni maskini atakupigia magoti....kumbe kiburi chako kimekuliza mwenyewe.

Hayo maumivu yako yataisha tu ukujikubali kuwa wew ni mwanaume...mpambanaji....na kwa huyo umemkosea......ukimpata mwingine, badili formula. PENDA KIRROH XAFI.
 
Kuna vitu jamani nyie acheni tu.....you can never dare to... Wacheni wanawake jamani waacheni tu. Zaidi ya hapo kwanini usiamini kama Mungu si Asumani MZIBHAZI
 
Last edited by a moderator:
Na kweli na hicho ndo kinachotutia umasikini wanaume wengi
 

Braza achana na mwanamke kabsa huku ktaa kulikuwa na dada tunapiga nae stor pamoja wala hana inshu yoyote juzi juzi tunamwona anatembelea RAV 4 mpyaaa wabishi tunakomaa kwa ugoko so mkuu komaa tafuta pesaa
 
siku hizi nao wamejibariki bhanaa,kampuni ya 0715 imewapa fursa sawa na wanawake.

Weeeee hiyo tigo wote tunayo lkn...mwanaume si sawa na mwanamke...mwanamke MUNGU kamjalia umbo la mvuto...hehe.. bado hawajatufikia..tuna mabambataa.. tuna ma hips...nk...lol
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…