Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Pablo

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2017
Posts
2,441
Reaction score
2,547
Huyu ni Shishi Trump anafuraha kupita maelezo kwa kuolewa na Uchebe.

Twende mbele turudi nyuma hapa mjini utadanga wee ila mwisho wa siku ndoa utaihitaji tu. Na kama ukifika 40's haujaolewa hautakuwa na maisha yenye amani.

Hongera Uchebe naona mzimu wako haujaleta masihara kama mzimu wa Nuhu.
 
Kama kawa yaaan ,,mie huwa naomba Afya tuuu njema na uhai basi.

Hata diamond anakuambia "Ndo kwanzaaaaa nina 28
Haahahah Ngoja Tu Watashtuka Umli Umewatupa Mkono. Sijui Nyodo Zao Wanazani Ndiyo Zitawaoa
 
Anakuzuga huyo babu.

Hapana chezea kuolewa...

upload_2018-1-15_16-39-37.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom