Satan
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,065
- 3,333
Sio kila mwanamke anato .mbesha kwa thamani mwili hauthaminishwi pesa ila utu
Na baadae mnakuja kuliwa mtungoNdio halambi kitu

ukitunga story kuna sehemu tu lazima utajichanganyaSiamini kilichotokoea jana, kuna mwanamke amenizungusha sana mwezi wa3 huu, nikaona labda nitumie Nguvu ya Shilingi ya Kitanzania mambo yatakaa sawa, nikamualika Lunch akakubali, nikaona nisiongee sana, nikaziachia chips mayai na kuku ziongee, nikaiachia Saint Anna wine iongee, Nikayaachia maji ya Kilimanjaro ya Baridi yaongee.
Sikutaka kuongea kabisa siku hiyo maana nilishaongea sana bila mafanikio, Nikaamua niiachie pesa ya kitanzania iongee, baada ya kula tukiwa tunapiga story nikaweka Laki5 mezani nikamwabia hiyo itamsaidia kimatumizi.
Cha ajabu nayo alikataa, nikajua labda anaona aibu nikachukua pochi yake nimuwekee ndio akawa mkaliii "HUWEZI KUNIRUBUNI NISHAKWAMBIA SIPO TAYARII! " akaita bodaboda akaondoka zake na laki5 akaiacha.
Kuna wanawake wa ajabu sana.
hahaha umenichekesha sana kuna demu alikuwa mgumu balaa tulichofanya ni kutuma mshenga na kutia alfu ishirini katika barua ya posa ...Tuma mshenga kwao.
Mimi kuna mwanamke hapa mtaani kwetu nimetongoza huu mwezi 7 sasa tunawasiliana vizuri lakini jibu hajanipa yaani we acha tu.
Mkuu upo sahihi ,Mimi mwenyewe Mwezi wa Saba huu napambana na demu wa kilokole yaani nimejaribu kila aina ya upambanaji lakini wapi , kila aina ya silaha lakini wapi ,duuu hawa wanawake wanatutesa sana.Siamini kilichotokoea jana, kuna mwanamke amenizungusha sana mwezi wa3 huu, nikaona labda nitumie Nguvu ya Shilingi ya Kitanzania mambo yatakaa sawa, nikamualika Lunch akakubali, nikaona nisiongee sana, nikaziachia chips mayai na kuku ziongee, nikaiachia Saint Anna wine iongee, Nikayaachia maji ya Kilimanjaro ya Baridi yaongee.
Sikutaka kuongea kabisa siku hiyo maana nilishaongea sana bila mafanikio, Nikaamua niiachie pesa ya kitanzania iongee, baada ya kula tukiwa tunapiga story nikaweka Laki5 mezani nikamwabia hiyo itamsaidia kimatumizi.
Cha ajabu nayo alikataa, nikajua labda anaona aibu nikachukua pochi yake nimuwekee ndio akawa mkaliii "HUWEZI KUNIRUBUNI NISHAKWAMBIA SIPO TAYARII! " akaita bodaboda akaondoka zake na laki5 akaiacha.
Kuna wanawake wa ajabu sana.
Dadeki sio wanawake wa Bongooo...laki tano hata Wolper unakulaaaaSio kila mwanamke anato .mbesha kwa thamani mwili hauthaminishwi pesa ila utu



Tatizo unakuwa serious sana ndo maana...!! Mwanamke anaekupenda huitaji kuchukua Mwezi na kutumia nguvu nyingi kumpata.. Achana nae mkuuMkuu upo sahihi ,Mimi mwenyewe Mwezi wa Saba huu napambana na demu wa kilokole yaani nimejaribu kila aina ya upambanaji lakini wapi , kila aina ya silaha lakini wapi ,duuu hawa wanawake wanatutesa sana.
PoamkuuSasa huyo ndio wife material 100%. No shobo.. full misimamo.
Hiyo jamii ya wanawake wanaoweza kukataa 500000 kwa sasa wamebaki 1%. Waliobaki 5000 tu anaanza kuchekacheka.
Sasa huyo si kwamba hayupo tayari. Basi tu anahitajo uwe serious sana.
Nenda kwao na wazaz wakiwepo. Ataanza kukuelewa. Kama vip na mahari tupia.