Sio muoajiTuma mshenga kwao.
Tatizo unakuwa serious sana ndo maana...!! Mwanamke anaekupenda huitaji kuchukua Mwezi na kutumia nguvu nyingi kumpata.. Achana nae mkuu
Pesa sabuni ya roho 🤣🤣🤣😂🥴
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mie kuna demu pia namfukuzia huu mwezi wa pili japo kuna siku nilimuomba date akakubali tukaenda baadae tukawa tunarudi home. Sasa nikajitahidi kujieleza mtoto wa Kiume mwisho wa siku ananiambia nitakufikiria sasa nashindwa nianzie wapi maana alisema Ngoja mwezi mtukufu uishe atanipa jibu. Umeisha tu jna nikaanza ...! Naona kuna ufadhali muda si mrefu namtafuna ...! Namtafuna na chumvi kabisa huyo ...!
Aisee bora funga imeisha mademu zetu tuanze kuwala ...!
Namna ya kuitoa hiyo pesa Ina matter hasa , la sivyo mwenye akili zake anakataa kuchukua.Acha kidanganya watu, kuna mwanamke wa kukataa laki 5 usawa huu!!?
Siamini kilichotokoea jana, kuna mwanamke amenizungusha sana mwezi wa3 huu, nikaona labda nitumie Nguvu ya Shilingi ya Kitanzania mambo yatakaa sawa, nikamualika Lunch akakubali, nikaona nisiongee sana, nikaziachia chips mayai na kuku ziongee, nikaiachia Saint Anna wine iongee, Nikayaachia maji ya Kilimanjaro ya Baridi yaongee.
Sikutaka kuongea kabisa siku hiyo maana nilishaongea sana bila mafanikio, Nikaamua niiachie pesa ya kitanzania iongee, baada ya kula tukiwa tunapiga story nikaweka Laki5 mezani nikamwabia hiyo itamsaidia kimatumizi.
Cha ajabu nayo alikataa, nikajua labda anaona aibu nikachukua pochi yake nimuwekee ndio akawa mkaliii "HUWEZI KUNIRUBUNI NISHAKWAMBIA SIPO TAYARII! " akaita bodaboda akaondoka zake na laki5 akaiacha.
Kuna wanawake wa ajabu sana.
😂😂😂😂😂😂 hii mbinu kama baharia huwezi acha kuitumia. Inaokoa muda na nguvu nyingihahaha umenichekesha sana kuna demu alikuwa mgumu balaa tulichofanya ni kutuma mshenga na kutia alfu ishirini katika barua ya posa ...
akajua kweli nina nia kumbe wapi
nilipotosheka nikambwaga
Sent using Jamii Forums mobile app