Kweli nimeamini kuna wanawake wagumu

Kweli nimeamini kuna wanawake wagumu

umeweka hele ya kubadilishia mboga😅😅😅. ogea nae maswala ya maendeleo yake sio umshikishe pesaa
 
Sasa huyo ndio wife material 100%. No shobo.. full misimamo.

Hiyo jamii ya wanawake wanaoweza kukataa 500000 kwa sasa wamebaki 1%. Waliobaki 5000 tu anaanza kuchekacheka.

Sasa huyo si kwamba hayupo tayari. Basi tu anahitajo uwe serious sana.

Nenda kwao na wazaz wakiwepo. Ataanza kukuelewa. Kama vip na mahari tupia.
 
hayupo mbali kusema wakumtumia miamala,tukikutana akilia shida nampatia cash lakini duh........ Sio kwa ugumu huuu amenimeniwekea kumbukumbu ya kutongoza mda mrefu ambayo sijawai kupitia kabla yake
jaribu njia hii mzoeshe kumpa hela na mitoko kama wk khathaa kisha kata lain usimtafute wala kumuuliza ungalie matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulivyoweka pesa mezani umeharibu

Alivyojifungasha hadi kufka hapo alikuwa ameanza kukupa attention
 
Back
Top Bottom