Bila kujali elimu zao, nafasi zao kama waziri', muhandisi, kamishna, mkurugenzi au mwandishi wa habari wote level yao ya uelewa inakuwa chini ya STD 7!!
Imagine mwandishi eti anahoji mbona Morrison alikubali kwenye audio clip badala ya kuhoji Mkataba ni OG au Fake! Imagine mtu mwenye akili timamu anakwenda kujazana kwenye ofisi za TFF kusubiri maamuzi wakati issue kama hiyo, katika mazingira yale yale imetokea kwa Tdhishibi lakini wamekaa kimya!
Imagine mwandishi eti anahoji mbona Morrison alikubali kwenye audio clip badala ya kuhoji Mkataba ni OG au Fake! Imagine mtu mwenye akili timamu anakwenda kujazana kwenye ofisi za TFF kusubiri maamuzi wakati issue kama hiyo, katika mazingira yale yale imetokea kwa Tdhishibi lakini wamekaa kimya!