Kweli Mungu hana upendeleo?

Maadili ni nini?
Ni nani aliyetunga hizo sheria za maadili?
Na kwanini lazima tuzifuate?
 
Nature is neither immoral nor moral, only pitiless indifferent.
Hence this is the answer we both don't wanna hear. Mkuu hapo umemaliza Kila kitu
 
So what you mean ni kwamba Huyo Mungu hayupo. Kwamba ni dhana ya binadamu kutafuta safety in the midst of majonzi?
 
me sina maoni ila nachojua baada ya kukaa kutafakri kwa mda mrwfu nikagundndua huenda kwenye Bible zike ni propaganda hazina ukweli wowote we ishi unavoishi hakuna cha jehanamu sijui siku ya kiama sijui nini wala mungu hana upendo
 
me sina maoni ila nachojua baada ya kukaa kutafakri kwa mda mrwfu nikagundndua huenda kwenye Bible zike ni propaganda hazina ukweli wowote we ishi unavoishi hakuna cha jehanamu sijui siku ya kiama sijui nini wala mungu hana upendo
Aiseee inafikirisha but tuendelee kujifunza zaidi
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…