Kweli Mungu hana upendeleo?

Kweli Mungu hana upendeleo?

ShesRise_1 what was your take? Nimesoma mpk kichwa Sasa ita burst.
Si nilikwambia 😅 haya mambo ni kutuliza kicwa yaan unasoma una hoji unaokota maarifa then una relax

Siku nyingine hivyo hivyo nonstop 🤣
Ndio maana watu wengine mijadala hii wanaipita inaumiza kicwa
 
Si nilikwambia 😅 haya mambo ni kutuliza kicwa yaan unasoma una hoji unaokota maarifa then una relax

Siku nyingine hivyo hivyo nonstop 🤣
Ndio maana watu wengine mijadala hii wanaipita inaumiza kicwa
My g, go straight to answer me usiniumize kichwa na ww
 
So what you mean ni kwamba Huyo Mungu hayupo.
Nop.
That's your definition.
Na hiyo ni perception yako tu juu ya thoughts zangu.
Kwamba ni dhana ya binadamu kutafuta safety in the midst of majonzi?
Kutaka niexplain kuwa hiyo ni dhana ya kutafuta safety in the midst of majonzi ni kutengeneza bias.

Why can't it be about kutafuta something to be proud of in the midst of furaha?
 
Back
Top Bottom