Kweli mapenzi hayana mwenyewe...

Huyo kaka angekuwa njema kimaisha asingepanda mwendokasi..hlf hivi siku hizi kuna wadada bado wanapenda? Mm najua wadada siku hizi mnachotupendea ni pesa tu.. agata edward
we ndio mshamba kweli kwa hiyo kupanda public transport ndio mtu amechoka au kuwa njema mnamfananisha mtu na Mo
 
huwezijua udhaifu wa hyo jamaa labda anapumuliwa na wanaume wenzake
 
Hata kama nimemkosea mpenzi wangu ndiyo nianze kumbembeleza mbele za watu,tena kwenye daladala,kweli jamaa ni wa mkoa na kanasa kwa mdada wa Dar.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…