Kweli mapenzi hayana mwenyewe...

Atakuwa anajifunza kupenda, umlilie mwanamke amekuwa mama yako
 
Hahahaha Agatha bhana!! Mi nilikutana na wa namna hio nikienda Mbezi...kiukweli alinitia kichefu chefu...aibu nilihisi Mimi kwa jinsi alivokuwa anaongea...watu wote kimya ye ndo anaongea.
 
Haya maanaune ya usukumani ( sorry mikoani) mashamba sana. Yanadhani uanaume ni kutafuna miwa hadharani na kutembea kwenye lami bila kuvaa viatu. Najua ntashambuliwa wakati hata mimi ni wa mkoani ila nimekulia Dar kwa hisani ya wazazi..
 
Hahahahahahaaa malabuku zakooo (source Babu Asprin) nimejikuta nacheka kwanguvu.

Ila nyie wanaume, kuna niliowasikia wakisema kitu kama hiyo inakuwaga tamuuuuuu halafu yamotoo hehehehee sijui kwelii au wanapamba tuu.
Sijakugongea Like wala nini. Ugomvi wetu utaishia mahakamani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…