Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 21,665
- 44,335
mkuu huu ndio ushauri sahihi na niliokuwa nao mm kichwani mwangu. natumia simu nashindwa kukugongea like.
hii ni point kubwa sana tatizo watu wanaongea sana .wanasahau kwa nn serikali inakataza Yale mabasi yakuchongwa kwa kuchukua chesis ya malori.
wakuu Gari kuwa na body nyepesi ni usalama mmoja wapo kwa mtumiaji wa Gari hiyo.
ndio maana kwa hayo magari mnayoyasifia kuwa na body ngum kama benzi na BMW land rover usalama wake wote upo kwenye airbag maana Gari zimewekwa airbag nyingi sana.
Mkuu naona umechanganya mada hapo,kuna haya ma bus yenye body za irriza au marcopolo body zao zipo starndard kulinganisha na izo za kuchongwa kama ma bus mengi tunayotumia hapa kwetu..ss mifano yenu wa ugumu wa magari na usalama wake mnauleta ktk magari ambayo ni SUV hamuwatendei haki benz,bmw,land rover,range rover au jeep maana kuyakuta hayo matairi juu body chini ni nadra sana hata ukitoka nje ya bara bara litagonga miti tuu na si kupinduka kirahisi rahisi kama land cruiser halina balance kabisa ingawaje body kubwa.