Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,121
- 165,987
Wivu mbaya sana...
kivipi?
Gari aliyokuwa amepanda mama Kijo Bisimba inepinduka baada ya kugongwa ikiwa Kwenye foleni.
Jamani hapa wajapani wamechemsha kutengeneza Gari nyepesi Kama karatasi.
www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=304642&stc=1
www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=304614&stc=1
Wametengeneza kwa matumizi ya kawaida siyo kugongwa.
Gari zote za mjapani ni swaga tu, siyo imara, ni nyepesi mno, ndiyo maana zinaanguka hovyo hovyo, Kesi za kuanguka au kuacha njia gari kama land rover, benz, range rover, jeep ni chache sana ukilinganisha na Land cruiser
umejifunza juzi kwenye kasaloon automatic leo umepewa landcruiser unakanyaga mafuta kama mashine ya unga ikiacha njia unasema gari za mjapani swaga
Tuambie wewe ni gari gani unalifagilia maana unapoonda tuuui
Wametengeneza kwa matumizi ya kawaida siyo kugongwa.
Nadhani hili ndo jibu sahihi,kitabu cha gari siamini kama pana sehemu pameandikwa kwamba matumizi ya hiyo gari ni pamoja na kugongwa.
Benz G63 iko poa sana, hata nissan patrol ina kauzito fulani
umejifunza juzi kwenye kasaloon automatic leo umepewa landcruiser unakanyaga mafuta kama mashine ya unga ikiacha njia unasema gari za mjapani swaga