Kweli Land Cruiser sio magari bora

Kweli Land Cruiser sio magari bora

Kwahiyo unataka kuniambia millioni 200 ndio imeshateketea hapo?! Magufuli piga marufuku ununuaji wa hizo takataka..!
 
Discovery 4 au 3 zina uzito wa tani 3..izo shangingi ni swaga tuu na bei yapo juu but ubora hawana kabisa hata balance hamna haina kabisa unapokua nayo ktk speed ya masafa marefu..ni bora bmw x 5 au 6 zina usalama mkubwa sana inapotokea ajali kuriko hayo mashangingi..
 
Nimeshuhudia ajali ya RAV 4 new model iligongwa kwa nyuma na IST yaani RAV 4 ilivyopondeka utadhani bodi la karatasi
 
Gari zote za mjapani ni swaga tu, siyo imara, ni nyepesi mno, ndiyo maana zinaanguka hovyo hovyo, Kesi za kuanguka au kuacha njia gari kama land rover, benz, range rover, jeep ni chache sana ukilinganisha na Land cruiser

Land cruiser ni nyingi kuliko hizo ulizo taja. So frequency ya ajali nayo lazima iongezeke.
 
Nimeshuhudia ajali ya RAV 4 new model iligongwa kwa nyuma na IST yaani RAV 4 ilivyopondeka utadhani bodi la karatasi
Mimi nuna GX 100 iligongwa na Nissan Patrol iliyokuwa kwenye mwendo mkali lakini ilichubuka rangi tu. Mjapani magari yake ya uhakika
 
Gari aliyokuwa amepanda mama Kijo Bisimba inepinduka baada ya kugongwa ikiwa Kwenye foleni.
Jamani hapa wajapani wamechemsha kutengeneza Gari nyepesi Kama karatasi.

www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=304642&stc=1


www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=304614&stc=1

unapotathimini uimara wa gari baada ya ajali ni vema ukazungumizia nguvu iliyotumika katika kuligonga, na limegongwa na gari gani. Kwa mfano utakuwa sahihi ukisema scania sio imara endapo imechakaa baada ya kugongwa na vitz. lakini ukisema scania sio imara kwa kuwa imeharibika vibaya baada ya kugongwa na husemi imegongwa katika mazingira yapi, na gari gani, na hiyo iliyomgonga ilikuwa na mzigo au mwendokasi gani sidhani kama hitimisho lako linajitosheleza
 
Unajua ikuku wanatumia Land cruiser kila siku?
 
Unajua ikulu wanatumia Land cruiser kila siku?
 
Ni physics tu, gari likiwa gumu sana, kuna uwezekano mkubwa wa abiria kuumia zaidi kwenye ajali.
 
Mjapani siku zote kwenye upande wa passenger's safety gari zake ni kimeo ndio maana watu wana kufa sana hata kwenye ajali ambazo ili takiwa watoke salama.Siziamini gari zao kabisa,nyingine ukifika speed 120 tu steering ina anza kuvibrate yani ni shida.

<iframe width="560" height="315" src="https://www.youtube.com/embed/1sZryXEUz64" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>

Cheki hiyo volvo XC90 gari salama kuliko zote duniani ikifanyiwa crash
test.

https://www.youtube.com/watch?v=1sZryXEUz64


Huwezi ifananisha na Toyotas
 
Ni physics tu, gari likiwa gumu sana, kuna uwezekano mkubwa wa abiria kuumia zaidi kwenye ajali.

mkuu huu ndio ushauri sahihi na niliokuwa nao mm kichwani mwangu. natumia simu nashindwa kukugongea like.

hii ni point kubwa sana tatizo watu wanaongea sana .wanasahau kwa nn serikali inakataza Yale mabasi yakuchongwa kwa kuchukua chesis ya malori.

wakuu Gari kuwa na body nyepesi ni usalama mmoja wapo kwa mtumiaji wa Gari hiyo.

ndio maana kwa hayo magari mnayoyasifia kuwa na body ngum kama benzi na BMW land rover usalama wake wote upo kwenye airbag maana Gari zimewekwa airbag nyingi sana.
 
Wametengeneza kwa matumizi ya kawaida siyo kugongwa.

Nadhani hili ndo jibu sahihi,kitabu cha gari siamini kama pana sehemu pameandikwa kwamba matumizi ya hiyo gari ni pamoja na kugongwa.

Gari inapotengenezwa wanazingatiaa ajali pia. What if ikigongwa au ikipinduka ndio maana wanaweka safety equipments kama srs airbags.

Pamoja na hayo gari kugongwa na kupinduka hata kama ni gari ndogo sana imegonga huwezi kusema tu moja kwa moja hio gari ni mbovu au si imara,kuna issues nyingi.
 
Gari inapotengenezwa wanazingatiaa ajali pia. What if ikigongwa au ikipinduka ndio maana wanaweka safety equipments kama srs airbags.

Pamoja na hayo gari kugongwa na kupinduka hata kama ni gari ndogo sana imegonga huwezi kusema tu moja kwa moja hio gari ni mbovu au si imara,kuna issues nyingi.

issue ingine ipi basi karogwa, siunakumbuka alimshupalia pinda mahakamani, akasahau huyu jamaa ni mfipa.
 
mkuu huu ndio ushauri sahihi na niliokuwa nao mm kichwani mwangu. natumia simu nashindwa kukugongea like.

hii ni point kubwa sana tatizo watu wanaongea sana .wanasahau kwa nn serikali inakataza Yale mabasi yakuchongwa kwa kuchukua chesis ya malori.

wakuu Gari kuwa na body nyepesi ni usalama mmoja wapo kwa mtumiaji wa Gari hiyo.

ndio maana kwa hayo magari mnayoyasifia kuwa na body ngum kama benzi na BMW land rover usalama wake wote upo kwenye airbag maana Gari zimewekwa airbag nyingi sana.

kwa hiyo unataka kusema Toyota Mark ll ni imara kuliko Mercedes Benz S750?
 
Back
Top Bottom