Mswati Original
Member
- Sep 9, 2014
- 59
- 21
Hii Habari uisikie tuu kwa Jirani.
Nilifanya Siri kwa washikaji zangu wa kazini juu ya "Mchongo" ninaopiga.
Leo Mshikaji anasimulia kila kitu mbele yangu tena kwa kujisifu kuwa kafaidi balaa, imebidi niuchune tuu sababu sina hata pakulalamika, ila ndo nimejua maumivu yakuchapiwa.
Inauma aisee asikwambie Mtu.
Nilifanya Siri kwa washikaji zangu wa kazini juu ya "Mchongo" ninaopiga.
Leo Mshikaji anasimulia kila kitu mbele yangu tena kwa kujisifu kuwa kafaidi balaa, imebidi niuchune tuu sababu sina hata pakulalamika, ila ndo nimejua maumivu yakuchapiwa.
Inauma aisee asikwambie Mtu.